Zero Sumu
Member
- Oct 19, 2019
- 72
- 150
Connection muhimu sio kidogo, siwakatishi tamaa ila sijasema muache mishe zingineKwamba uwe na connection au
Connection muhimu sio kidogo, siwakatishi tamaa ila sijasema muache mishe zingineKwamba uwe na connection au
Connection muhimu sio kidogo, siwakatishi tamaa ila sijasema muache mishe zingine
Kwani hakuna mtu ambaye hajui hili,Kazi za Kuomba Wengi ni bahati Nasibu.So Mishe zingine lazima ziendeleeConnection muhimu sio kidogo, siwakatishi tamaa ila sijasema muache mishe zingine
Pambana upate shamba Ulime mkuu...Usiache kutumaini lakini Kama yako ipo ipo tuuHaha daah sa itakuaje sisi watoto wa wakulima![]()
Tuonane gate la CCP 10/11 vijana wangu
Tupeni lonja tuishi
Hivi mtu akiwa ametoka meno yote ya mbele anaweza kupita kwenye usaili na Hana mtu wa kumshika mkono anategemea tu vyeti vyake.
Naombeni lonja katika hili
Hahahahaha, mkuu ushaipigia hesabu ile mipande ya minofu na lile sembe poriHahaha mkuu utashindwa kula nyama choma wewe,
Ipo ghetto ijia
Utakuwa hapo?Tuonane gate la CCP 10/11 vijana wangu
Vp usaili ulishafanya tayari mkuuTupeane tarehe rasmi ya kuondoka ..
Jeshini mapengo huchukuliwi,labda uyapatie kwenye ajira.Tupeni lonja tuishi
Hivi mtu akiwa ametoka meno yote ya mbele anaweza kupita kwenye usaili na Hana mtu wa kumshika mkono anategemea tu vyeti vyake.
Naombeni lonja katika hili
Kama kuna mtu wa kidato cha 4 na 6 ambaye yupo humu anasubiria lonja za majina kwaajili ya usaili asipoteze sana muda humu,awe anapita kwenye mbao za matangazo za ofisi za RPC au RC wa mkoa husika.
Wale wa Astashahada,Stashahada,Shahada mliotuma awali maombi yenu endeleeni kuvumilia majina yatoke pamoja na ya hawa waliotangaziwa kutuma jana maombi mpaka tarehe 29 ndiyo mwisho.
Aisee kumbe meno kigezo cha msingi sana.Jeshini mapengo huchukuliwi,labda uyapatie kwenye ajira.
Meno yana msaada mkubwa sana kwenye ubebaji wa vitu vizito kama ilivyo marinda,kwahiyo kama huna meno ya mbele wewe ni UNFIT.
Kuna taarifa umeiona humu JamiiForums na haifai kubaki mtandaoni?
Fanya hivi...
Unapata ugumu kuikumbuka akaunti yako? Unakwama kuanzisha akaunti?
Contact us