Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Caution
Form 4~mshahara laki nne ukijumlisha na malupu ni laki 6 hapo bado deductions za pssf na vingine
Form 6~mshahara laki tano ukijumlisha na malupulupu inafikia laki 6 na nuc mpaka 7, ila bado deductions
Shahada~mshahara na malupulupu hauzid laki 8 na hapo bado deductions ambapo utafikia kwenye laki 5 mpaka 6

Ukumbusho tu, msije mkajisahau mkajua mnaenda kula bata saana, tuulizeni sisi tunaokula joto ya jiwe huku
KARIBUNI

Sent using Jamii Forums mobile app
Utaratibu wa kusajili vyeti vya degree kwa wale waliongilia na form 4 huko polisi ukoje ?


Maana nimeambiwa magereza wanazingua at least ukae hata miaka 5 ndio uvisajili usishtukiwe na ukimkuta mkuu wa gereza mnoko kazi huna tena
 
We
Utaratibu wa kusajili vyeti vya degree kwa wale waliongilia na form 4 huko polisi ukoje ?


Maana nimeambiwa magereza wanazingua at least ukae hata miaka 5 ndio uvisajili usishtukiwe na ukimkuta mkuu wa gereza mnoko kazi huna tena
Wewe ingia kwanza mengine ya utaratibu utayajua huko mbeleni. Cha msingi uingie kwenye system kwanza
 
Caution
Form 4~mshahara laki nne ukijumlisha na malupu ni laki 6 hapo bado deductions za pssf na vingine
Form 6~mshahara laki tano ukijumlisha na malupulupu inafikia laki 6 na nuc mpaka 7, ila bado deductions
Shahada~mshahara na malupulupu hauzid laki 8 na hapo bado deductions ambapo utafikia kwenye laki 5 mpaka 6

Ukumbusho tu, msije mkajisahau mkajua mnaenda kula bata saana, tuulizeni sisi tunaokula joto ya jiwe huku
KARIBUNI

Sent using Jamii Forums mobile
Boss Mishahara ya degree inatofautiana. Hiyo uliyotaja hapo ni degree zingine. Degree za Engineering na Afya wana scale yao. Ila degree za afya ndio wanaongoza kula mpunga mrefu kwenye jeshi la polisi. Kwa mfano MD ni 1.5m kama scale tu ya serikali kwa madaktari.
 
Caution
Form 4~mshahara laki nne ukijumlisha na malupu ni laki 6 hapo bado deductions za pssf na vingine
Form 6~mshahara laki tano ukijumlisha na malupulupu inafikia laki 6 na nuc mpaka 7, ila bado deductions
Shahada~mshahara na malupulupu hauzid laki 8 na hapo bado deductions ambapo utafikia kwenye laki 5 mpaka 6

Ukumbusho tu, msije mkajisahau mkajua mnaenda kula bata saana, tuulizeni sisi tunaokula joto ya jiwe huku
KARIBUNI

Sent using Jamii Forums mobile app
Scale za shahada haiko ulivyo Sema, Wizara ya mambo ya ndani kuanzia intake zote za 2020 nakuendelea walifanya maboresho mtu mwenye shahada atalipwa mshahara kama scale ya degree inavyolipwa serikalini so kama n shahada ya MD watakulipa scale wanayolipwa MD wanapo anza kazi kama n mtu wa IT, sheria utalipwa ile scale ya serikali ambayo n scale TGS E then ndo posho zitafuata so utakuwa umewapiga wenzio wa serikalin ambao kuipata posho hadi itokee

Hapo bado Polisi Kuna vimadili visivyo.rasmi mtaani nazani vinajulikana
 
Scale za shahada haiko ulivyo Sema, Wizara ya mambo ya ndani kuanzia intake zote za 2020 nakuendelea walifanya maboresho mtu mwenye shahada atalipwa mshahara kama scale ya degree inavyolipwa serikalini so kama n shahada ya MD watakulipa scale wanayolipwa MD wanapo anza kazi kama n mtu wa IT, sheria utalipwa ile scale ya serikali ambayo n scale TGS E then ndo posho zitafuata so utakuwa umewapiga wenzio wa serikalin ambao kuipata posho hadi itokee

Hapo bado Polisi Kuna vimadili visivyo.rasmi mtaani nazani vinajulikana
Wazee wa madili

Halafu wanasema polisi hawana hela hawa watu ukipita huko makambini unakuta wamepaki magari yao kama yote


Wengi wataropoka ya mkopo ..sasa kopa wewe ununue sasa ulihudumie tukuone
 
Scale za shahada haiko ulivyo Sema, Wizara ya mambo ya ndani kuanzia intake zote za 2020 nakuendelea walifanya maboresho mtu mwenye shahada atalipwa mshahara kama scale ya degree inavyolipwa serikalini so kama n shahada ya MD watakulipa scale wanayolipwa MD wanapo anza kazi kama n mtu wa IT, sheria utalipwa ile scale ya serikali ambayo n scale TGS E then ndo posho zitafuata so utakuwa umewapiga wenzio wa serikalin ambao kuipata posho hadi itokee

Hapo bado Polisi Kuna vimadili visivyo.rasmi mtaani nazani vinajulikana
TGE ni 1M
 
Naomba mnijuze mwenye ufahamu kwa aliyefika chuo cha kuambatanisha ni cheti tu au na transcript nayo pia unaweka na leaving certificate km unayo moja tu vip yaan km unayo ya advance tu vip itafaa au lazima uwe nazo zote mbili
 
Naomba mnijuze mwenye ufahamu kwa aliyefika chuo cha kuambatanisha ni cheti tu au na transcript nayo pia unaweka na leaving certificate km unayo moja tu vip yaan km unayo ya advance tu vip itafaa au lazima uwe nazo zote mbili
Inategemea na wanahitaji kuona nini. Mfano watu wa Diploma ya IT mnaweza kuomba 20, Wakasema tuchague mwenye GPA kubwa au Aliyefaulu kozi fulani fulani mfano Programming na Networking, au Maintanence na Networking. Je watajuaje wewe una GPA gani bila Transcript?

Ushauri:
Ambatanisha vyote tu na ndio vinavyotambulika kama VYETI VYA TAALUMA.
 
vijana nashauri tumeni maombi kwa umakini. pia omba mungu asaidie .tatu tafuta waku kukushika mkono otherwise hzi nafasi zimejaa ambao tumeanza kuzipambania kitambo tunafahamu uchungu wa kukosa tangu post za pccb,immigration nk kifupi tu idara za ulinzi na majeshi pasipo connection kutoboa uwe na bahati yako sana,nawasilisha.
Kaka Bora umesema wewe,siye tupo kitambo sana tunazipambania toka natumia ile ID yangu ya Gpili

Sent from my CPH2325 using JamiiForums mobile app
 
Hivi kama pale kwenye zile kozi walizotaja wanataka mtu mwenye diploma na wewe una degree, haiwezi kutokea bahati ya mtende au nikate tamaa tu nipotezee.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom