kilambimkwidu
JF-Expert Member
- Jul 21, 2017
- 6,043
- 7,038
Wanabodi,
DSE walitangaza nafas hiyo ya kazi na mwisho wa kutuma maombi ilikua ni 31 August, 2017. Mpaka sasa, takribani miezi 3 imepita naona kimya. Nimejitahidi kufuatilia kupitia website yao na blog zingine zinazotoa taarifa za ajira au interview lakini HAWAJAITA MTU KWENYE USAILI kwa nafasi hiyo.
Ndo kusema kwamba nao wameichikichia ama? Kama kuna mwenye taarifa tujuzane ndugu yangu analala macho wazi. Kila simu akipigiwa anafikiri inatoka DSE. Ametunza naui ya kwendea Dsm kwenye usaili kwa muda mrefu, anabanwa na shida lakini haitumii akitegemea labda ataitwa. Tuarifiane kuhusu hili ili apumue angalau.
Kilambimkwidu
DSE walitangaza nafas hiyo ya kazi na mwisho wa kutuma maombi ilikua ni 31 August, 2017. Mpaka sasa, takribani miezi 3 imepita naona kimya. Nimejitahidi kufuatilia kupitia website yao na blog zingine zinazotoa taarifa za ajira au interview lakini HAWAJAITA MTU KWENYE USAILI kwa nafasi hiyo.
Ndo kusema kwamba nao wameichikichia ama? Kama kuna mwenye taarifa tujuzane ndugu yangu analala macho wazi. Kila simu akipigiwa anafikiri inatoka DSE. Ametunza naui ya kwendea Dsm kwenye usaili kwa muda mrefu, anabanwa na shida lakini haitumii akitegemea labda ataitwa. Tuarifiane kuhusu hili ili apumue angalau.
Kilambimkwidu