Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 50,337
- 113,178
- Thread starter
- #41
Ameamua vyema!. Atakula security na kuitumia hiyo security kujiletea maendeleo!.Wabongo ni wavivu wa kazi na kufikiri, kuna jamaa yangu kaacha kazi ya 1.6M per month plus 20 percent house allowance kwenye NGO kaenda serkalini kufanya kazi ya 470,000 eti huko kuna SECURITY