Artificial intelligence
JF-Expert Member
- Jan 28, 2021
- 1,262
- 2,191
Kama haikuchukui gharama na muda unao unajaribu mara nyingi kadri iwezekanavyo. Kama bado upo kwenye safari usikate tamaa ndugu.Kabisa nilisema sitakuja kupoteza muda wangu,tena kama wilaya fulani nafasi zimejaa wanawaleta wilaya nyingine ili wapate nafasi,Nakumbuka hao jamaa walikuwa wanafanya intern Nachingwea na kule wameshagawa nafasi tayari wakawaleta Lindi waje Kuchukua nafasi maana ile sio interview ni ugawaji wa nafasi