Hilo ni la kweli mkuu!! Shida na wao hawalipwi on time na serikali, tena kuna wakandarasi wanao supply huduma na vifaa kwao, wakikusimulia hali zao ki uchumi ni mbaya munooooo! Na kuna migomo sana kwenye huo mradi wa sgr sema ukionyesha kwenye tv, kazi unayo kazima rungu la tcra likuangukie kuwa sio mzalendo!!
Kwanza hao yapi markez wanafanya hiyo tenda ktk mazingira magumu sana!! Pesa, pesa, waulize watoa huduma kwake wanavyopata shida kwenye malipo yao!!Nimekuwa informed na Internal Source kuwa hao Yapi markez wamefanya siasa kuweka hilo tangazo Waliposikia Rais anaenda kukagua mradi morogoro ni Siasa tu hapo wala hakuna vacancies, Kwanza unaambiwa kuna redundancy kubwa inaendelea.
Kwan mwisho Lini kuapply hizo ajira?
Mimi nilifika kabisa ofisini kwao baada ya kuona kimya kimezidi, nikatoleana sana namba na wale masai wa getini pale.Jee??kuna watu tayari wameitwa kwenye hii kazi???
Mimi nilifika kabisa ofisini kwao baada ya kuona kimya kimezidi, nikatoleana sana namba na wale masai wa getini pale.
Wale walinzi waliniambia kuwa majina katika notice board tangazo likibandikwa basi na wao ndio wanaruhusu watu kuingia ndani,nikawauliza so kama nimeomba online mnasubiri mpaka muone tangazo katika board??Duh we noma sana
Hii ndo tamu sasa.Wale walinzi waliniambia kuwa majina katika notice board tangazo likibandikwa basi na wao ndio wanaruhusu watu kuingia ndani,nikawauliza so kama nimeomba online mnasubiri mpaka muone tangazo katika board??
Ila nilibahatika kukutana na baadhi ya watu pale wakanieleza kuwa jamaa utojai wao wa kazi ni vigumu kuajiri kwa kujuana au rushwa kwasababu interview zao nyingi ni Practical, amabazo zinafanywa chini ya uangalizi wa jopo la Waturuki.
Kumbe ni kweli? Nilijua tangazo feki lile, ila je ni kweli wanatakiwa watumishi wote wale around 1000?Washaanza kuita watu kwa habari za chinichini
Mimi nilifika kabisa ofisini kwao baada ya kuona kimya kimezidi, nikatoleana sana namba na wale masai wa getini pale.
Washaanza kuita watu kwa habari za chinichini
watu wa post gani wameanza kuitwa ?
Driver