Wapendwa, napenda kuwahabarisha kuwa nimepublish kitabu kingine cha ujasiriamali baada ya kile cha "Siri ya Ukombozi wa Mjasiriamali" sasa hiki kipya kinaitwa "Ujasiriamali kwa Vitendo" kinachohusu utengenezaji bidhaa mbalimbali za majumbani na ofisini. Kitabu hiki kinatafutwa sana mitaani hivyo nahitaji vijana 50 kwa ajili ya kusaidia usambaziji kwa muda wa mwezi mmoja ambapo kila siku malipo ni Tsh. 10,000/= na nauli ya Tsh. 3,000/=.
Tafadhali mhabarishe ndugu, jamaa ama rafiki aliyekaa kijiweni tu bila kazi, si haba hata wewe unayetafuta kazi leo jishughulishe upate kipato kwa mahitaji yako madogo madogo
Mawasiliano: 0753 12 54 74
Tafadhali mhabarishe ndugu, jamaa ama rafiki aliyekaa kijiweni tu bila kazi, si haba hata wewe unayetafuta kazi leo jishughulishe upate kipato kwa mahitaji yako madogo madogo
Mawasiliano: 0753 12 54 74