Program Manager
JF-Expert Member
- Aug 6, 2018
- 2,508
- 3,427
Kumejaa utoto tuKweli kabisa maana huko ni utoto mwingi sana watu 23 wanachat message 2k cha maana hakuna
Kumejaa utoto tuKweli kabisa maana huko ni utoto mwingi sana watu 23 wanachat message 2k cha maana hakuna
Acha makasiriko. Sasa unategemea watu wawe wana jadili nn for the time being....kwani huku kuna cha maana kipi mnajadili compared to them in the group??? Acha watu wasocializeYaan wanakera sana wale watu na hawakubali kuelekezwa. Tatizo linaanzia kwa admin wa lile group nae ni mmoja wao kwahyo vurugu tupu
Mkuu mbona unaandika kwa ukali hivoAcha makasiriko. Sasa unategemea watu wawe wana jadili nn for the time being....kwani huku kuna cha maana kipi mnajadili compared to them in the group??? Acha watu wasocialize
Em nipeni hyo link
Nenda mkahadithiane bondita na pisikali wenzioAcha makasiriko. Sasa unategemea watu wawe wana jadili nn for the time being....kwani huku kuna cha maana kipi mnajadili compared to them in the group??? Acha watu wasocialize
Em nipeni hyo link
Hahahaahhahaah😀😀😀😀😀😀😀😀😀Nenda mkahadithiane bondita na pisikali wenzio
Izo ni za ndani saaaaana au ni za juu juu tu😀😀😀😀😀😀Tarehe 10 kinaumana
Huu msemo huwa wanifurahisha sana ha haIzo ni za ndani saaaaana au ni za juu juu tu
Kuna mzee mmoja tumefanya nae paper daah,nikaona tupo 22k lakini kuna watu wana tuzibia tunaonekana weeeeeeeengi
Mtu anakitambia kidevu kimekoma anakuja uku unapofanya kaz si ukomae hapo hapo
Pisikali ya nyokweNenda mkahadithiane bondita na pisikali wenzio
Kwahio tuandae laki tatu nyingine ya kwenda dom na kurudi?Kama kweli imetokea hivi, saili inaweza kurudiwa.
watafute plan B Kwanza.Kwahio tuandae laki tatu nyingine ya kwenda dom na kurudi?
Hawa watu ukiwasikiliza mkuu utapata hypertension bureKuna nini kimetokea kwani?
umeonaeeHawa watu ukiwasikiliza mkuu utapata hypertension bure