No phone calls, No PDFWatu wamekupuuzia maana ulikuwa hujui unacho ongea. Ulihisi PCCB ni wahuni wenzako
Be positive. Just apply mengine iachie process iamue. Kwa mawazo Kama haya ni kwamba umeshindwa kabla ya kujaribu. Na si jambo jema. Kila mtu ana fungu lake mbele ya Mwenyezi Mungu.Hizi nafasi wanaandika tu kufanya watu wajue kama Government inatoa ajira ila ukweli ni kwamba hata uwe na sifa zote hizo utapigwa nachini
Mimi nilisema tu.labda hyo tar 3 mkeka unaweza kutoka ila sikusisitza kuwa utatoka tar 3,so tusubiri tu tuone itakuajeeSi ndio leo J4junior
Uhakika!au una assume!!?Mkeka mwezi wa kwanza katikati.
Hvi Leo si ndo tarehe 3.... Vipi bro interview kakwambia ilikuaje???! Tujuze basis cz ilikua unatukazia sana na hyo tarehe 3 au hakupigiwa simu tenaNever mislead majority.
Interview ni 3rd December.
Mkuu hii nchi ngumu sana.
Kuna dogo alipigiwa simu kua hiyo ndo tarehe na anatakiwa aende kwenye usahili.
Na inavoonekana ana 100% za kupata nafasi maana mbanga wake alioupiganisha ana High profile.
Sisi wengine tusubiri pdf ya selection kwenye usahili.
Hahahaaaa alitaka kututoa kwenye mstari kabisa tuhisi taasisi Haina maana kumbe YEYE Ndo Hana maanaNext time uwe unatuacha tupumue kidogo na ukagongea mstari asilimia 100 kabisa
Kuna kauli wanajeshi wanasemaga ni Bora ufe na adui kuliko kuwa mateka, jamaa amekubali kushindwa hata kabla process haijaamua, kijana unakataje tamaa bado unapumua..???Be positive. Just apply mengine iachie process iamue. Kwa mawazo Kama haya ni kwamba umeshindwa kabla ya kujaribu. Na si jambo jema. Kila mtu ana fungu lake mbele ya Mwenyezi Mungu.
Yes definitelyFrom 08 Dec to 20 Dec still loading.....
Endurance still needed indeed
Hii interval ndo?From 08 Dec to 20 Dec still loading.....
Endurance still needed indeed
Kama wewe nj ME,umewahi kusubiria manzi yako alafu akuji yaaaniKusubiria kitu ni kazi jaman mh...
Subiri mambo mazuri yaja jifue kufunga na kufungua, kunyakua, kutafuta hamu ya kula, yaaaaa ya ukali ktk uwanja wa damuHii interval ndo?
kabisa kabisa ,Kusubiria kitu ni kazi jaman mh...