cariha
JF-Expert Member
- Apr 9, 2015
- 22,077
- 46,324
Mwambie atakamatwa huyo kiulaini aache uongo na kuchafua taasisi shauri yake pccb ka walivotangaza wata shortlist na kila kitu kitakuwa mubasharaSiku 3 zilizopita huyu mhuni aliandika kwenye uzi wa magereza amepenyezewa kwamba hizo nafasi za Pccb zimeongezwa...leo anampa hongera huyo jamaa eti amechaguliwa kwenda interview Pccb...sasa tujue lipi kama sio kutapeli watu...anajikuta yeye ana information za taasisi...who are you brother? Acha uhuni na kuchafua image ya taasisi unakosea sana