Nafasi za Kazi 350 zatangazwa TAKUKURU

Unachekesha Kuwa na cheti cha jkt ndo uzalendo..??
Umepotea
Ndiyo washaamua Sasa hiyo ndiyo I'd ya uzalendo

Kama ulivo na Chet cha form 4
Sasa tutajuaje umesoma hadi hiyo level
Chet ndiyo utambulisho

Kama ulikimbia jkt ishakula kwako suala la ajira serikalin sahau hilo
Wale wote mliomaliza form 6 kuanzia 2013 tulipo anzisha jkt kwa mujibu wa sheria
 
Cheti cha JKT (Mujibu/Kujitolea) ni lulu kwenye fursa nyingi za Utumishi wa Umma maana Tz bado hatuna database kamili ya kusaidia kuspot watu hivyo anayepita JKT hata vetting yake huwa nyepesi wakiamini ulipita katika tanuli sahihi la mchujo na umeiva.
Kwhy mkuu Kwasie ambao hatukupangiwa vituo vya jkt,kazi za utumishi wa umma tutaishia kuziskia tu?
 
Kwhy mkuu Kwasie ambao hatukupangiwa vituo vya jkt,kazi za utumishi wa umma tutaishia kuziskia tu?
Exactly sahau kuhusu hilo
Tuliwaambia mapema nenden jkt baadae mambo yatakua magumu hamkutusikia

Shaur yenu
Mtu aliyepitia jkt tuna mterm kama mzalendo na cheti ni udhibitisho
 
Zaidi ya 70% wapo tayari
Kuna madogo wapo muda tu ofisi za PCCB baadhi wanajitolea kwahiyo labda wanaweza kupewa upendeleo.
Hizi nafasi za PCCB zimetoa upenyo hata wale walioko kwenye mfumo tayari kuomba yaani muajiri wako anachoronga barua tu unatoka Halmashauri ya Wilaya ya Sitimbi kwenda PCCB na sababu wamesema uzoefu kazini nao ni kigezo basi freshers hali ngumu kama connection ni hafifu..
 
Hizi nafasi wanaandika tu kufanya watu wajue kama Government inatoa ajira ila ukweli ni kwamba hata uwe na sifa zote hizo utapigwa nachini
Hapana Mkuu! Kama una sifa hizo na una uhitaji wa nafazi hizo tafadhari tuma maombi yako.
Mungu kama amekuandikia kupata nafasi hizo utapata.
 
Siyo kwa kipindi hiki ambapo ushindani ni mkubwa sana,kwanza ile PORTAL yao tu usipoambatisha kitu kimoja tu maombi hayaendi,mfumo unakukataa palepale..

Ila ukiwa full inakwambia SUCCESSFULLY kama AJIRA PORTAL TU..
Hiyo kweli yaan mpk cheti cha darasa la saba, wengine shule tulizosoma hazikuwa zenye kutoa vyeti vya darasa la saba, au wengine pia hatukupitia form 6, au national service program, ila sifa nyengine zote tunazo tumejaribu kufosi tu hadi system ikatukubaki maombi yakawa sent. System walitakiwa wairekebishe. Mambo mengine yawe optional hususan ukizingatia mifumo ya kielimu ya nchi yetu, sio wote watakuwa na vyeti vya darasa la saba au form 6.

Mie nijuavyo cheti cha form 4 ni lazima maana huwez kwenda six au chuo bila ya cheti cha form 4.
 
Na vipi wakuu nlikuwa naulizia kuhusiana na ku view profile yako, ya pccb maana ukituma maombi yako, sijui huwa unakwenda mahala gani kwa ajili ya ku view profile yako kama vile ilivyo ajira portal, ili upate confirmation kama umechaguliwa interview au laa, au ku view kawaida tu, au huwa wanapigia watu simu ukiona hujapigiwa ujue ndio hawajakuchagua?

Naomba ufafanuzi kwa wenye uzoefu juu ya ishu hii.
 
mi kila sifa nimekidhi kasoro ya cheti cha jkt na sababu ni kipindi namaliza form 6 (mwaka 2015) walitoa majina baadhi na baadhi yetu hatukupangiwa vituo vya jkt mpaka tunajiunga na vyuo na kuhitimu.

Hii sijuh imekaaje? Imeniweka njia panda!!
Apply tu unaweza ukapenya, si unajua hawa watu nao umakini mdogo sana.
 
Kuna madogo wapo muda tu ofisi za PCCB baadhi wanajitolea kwahiyo labda wanaweza kupewa upendeleo.
Hizi nafasi za PCCB zimetoa upenyo hata wale walioko kwenye mfumo tayari kuomba yaani muajiri wako anachoronga barua tu unatoka Halmashauri ya Wilaya ya Sitimbi kwenda PCCB na sababu wamesema uzoefu kazini nao ni kigezo basi freshers hali ngumu kama connection ni hafifu..
Hivi pccb huwa kuna kujitolea kumbe
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom