mrMaco
Member
- Jun 19, 2020
- 90
- 151
- Thread starter
- #321
Issue ni kwamba portal itamkataa kwasababu kuna baadhi ya certificate hana na kwenye portal ili uombe ni lazima uwe na izo certificate...poaah mkuu kwahiyo cha form four na leseni akiambatanisha havitamsaidia chochote??
au kwenye cv akiandika kua bado ndo yupo diploma mwaka wa mwisho... maana yupo nursing diploma ndo mwaka wa mwisho huu
So atashindwa kusubmit maombi yake.