middle east
JF-Expert Member
- Dec 30, 2016
- 1,307
- 1,681
Wale wa others tupo??
Ungeomba kupangiwaHata Mimi nilimaliza mwaka huo na sikupangwa sasa sijui watatuelewa huko mbeleni?
Hivi zile ajira za takukuru mtu wa accounting kama umeitwa inakuaje ?? Na kozi ya accounting haikuwepo pale
Hii sasa changamoto, mimi nilijua huwa wanaacha baadhi ya watu kulingana Na uwezo wa kuwaaccomodate hukoUngeomba kupangiwa
Hii sasa changamoto, mimi nilijua huwa wanaacha baadhi ya watu kulingana Na uwezo wa kuwaaccomodate huko
Vp ulisha ajiriwa ?Acha tu