Mkuu, kwenye tangazo lao wanasema maombi yote yapitishwe kwa katibu tawala wa wilaya anayoishi mwombaji. Tunaipitishaje kwa katibu tawala, yaani process ikoje?Hawa jamaa wakiendesha usaili wenyewe wako vzr, mwaka 2015 walitoa nafasi nikaitwa sema nikapuuzi kwa kuwa nilikuwa na kazi flani
jamaa zangu 16 walipata nafasi afisa utumishi/tawala hadi leo najilaumu. kwa wale wenye sifa fanyeni kuomba jamaa wakikuita 50% ni uhakika sio yale ya nafasi moja watu 4000
Ukiandika barua ya maombi ya kati itapitia kwa katibu itakuwa na anwani ya katibu utapeleka kwa katibu ataisaini na kugonga muhuri sasa apo safari ya kwenda kutuma posta au utapeleka direct ndo itaanzaa b aada ya kk kwa katibuMkuu, kwenye tangazo lao wanasema maombi yote yapitishwe kwa katibu tawala wa wilaya anayoishi mwombaji. Tunaipitishaje kwa katibu tawala, yaani process ikoje?
Sent using Jamii Forums mobile app
Asante.. Ndio ile kitu tunaita UFS (Under Further Signature) au sio?Ukiandika barua ya maombi ya kati itapitia kwa katibu itakuwa na anwani ya katibu utapeleka kwa katibu ataisaini na kugonga muhuri sasa apo safari ya kwenda kutuma posta au utapeleka direct ndo itaanzaa b aada ya kk kwa katibu
Sent using Jamii Forums mobile app
Na usipopitishwa hauitwi wanajali utaratibu wao sanaMkuu, kwenye tangazo lao wanasema maombi yote yapitishwe kwa katibu tawala wa wilaya anayoishi mwombaji. Tunaipitishaje kwa katibu tawala, yaani process ikoje?
Sent using Jamii Forums mobile app
Ingia hapa:Mbona maelezo hayajajitosheleza,Kama vigezo vya kutuma vinakuwaje
Mbona maelezo hayajajitosheleza,Kama vigezo vya kutuma vinakuwaje
Mbona hicho kipengele sijakiona, nimeona tu vyeti vipite kwa mtu wa mahakama na vipigwe muhuri.Mkuu, kwenye tangazo lao wanasema maombi yote yapitishwe kwa katibu tawala wa wilaya anayoishi mwombaji. Tunaipitishaje kwa katibu tawala, yaani process ikoje?
Sent using Jamii Forums mobile app
https://www.judiciary.go.tz/index.php?r=announcements/pdf&id=1Mbona hicho kipengele sijakiona, nimeona tu vyeti vipite kwa mtu wa mahakama na vipigwe muhuri.
Daaah nimeona mkuu alafu hapo ndio kirangaa kabisa.https://www.judiciary.go.tz/index.php?r=announcements/pdf&id=1
Kipo mkuu cheki kwenye hiyo link
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii ufs ndio imekaa vibaya maana nafasi ya uzamili, na msaidizi wa kumbukumbu sina afu hata ya ulinzi sina. 😂😂😂Asante.. Ndio ile kitu tunaita UFS (Under Further Signature) au sio?
Sent using Jamii Forums mobile app
Unaomba nafasi ipi hapo?Hii ufs ndio imekaa vibaya maana nafasi ya uzamili, na msaidizi wa kumbukumbu sina afu hata ya ulinzi sina.
Vyeti vya vyuo kwenye hivo vigezo sina kwahiyo ntashindwa.