Hizi taratibu zingine za kijinga Sana, unatangaza kazi kwa watanzania then unasema tupitishe maombi kwa katibu tawala huko general huwezi kumkuta DAS mwenyew akifanya hii kazi lazma utakuta Kuna wasaidizi na muhuri wa "for" watataka Chao... " Lengo Ni Nini kwani"? Kama ni uhalali wa vyeti si mlink na NECTA au uraia si mlink na RITA acheni kusumbua watu ... Why wasiwatumie direct