Ndo wanasubil
Duh lakini hawawezi kwenda kozi hadi wale waliotuma makao makuu nao wafanyiwe usaili
Duh lakini hawawezi kwenda kozi hadi wale waliotuma makao makuu nao wafanyiwe usaili
Jamaa twyn ivi ww si unasubiri msululu wa kutoka makao makuu magereza sasa inakuaje tena fire umetuma maomb mkoani wakat form 4 ndio walielekezwa watyme mkoani ...Aisee fire nimefuatilia duuh kumbe usahili mikoani ushaisha na majina yashaenda dodoma na course wanaenda January....
Sio poaaa bora watoe tujue moja tumekosa basi tuendelee na harakati zetu mtaaniHizi ajira za majeshi mpaka Sasa wapo kimya , au wanataka kukanusha kuwa hizo ajira sio sahii.
Endelea na harakati ukiwa unasubiri yatatoka ukiwa huna hata abariSio poaaa bora watoe tujue moja tumekosa basi tuendelee na harakati zetu mtaani
Kweli aisee,ukimya umetawala sana,Ni Bora hata wasingetoa tangazo lao wakasubili mpaka muda muafaka ndo wakatoa Cha ajabu tagazo walilitoa mapema sijui ndo walikuwa Wana maanisha niniSio poaaa bora watoe tujue moja tumekosa basi tuendelee na harakati zetu mtaani
Kweli aisee,ukimya umetawala sana,Ni Bora hata wasingetoa tangazo lao wakasubili mpaka muda muafaka ndo wakatoa Cha ajabu tagazo walilitoa mapema sijui ndo walikuwa Wana maanisha nini
Kumbe JKT wanapima luku
OOOOH MPWA PAGE YA PILI NAHISI.NILIANDIKA MJIPANGE JAMANI NA MATOKEO NA HAMNA SIRI OOH..LEI NAONA FB VYUMA VIMEUMANAKumbe JKT wanapima luku