Nafasi za Kazi 25 JamiiForums - mwisho wa kutuma maombi ni Julai 27, 2019

Kama unahusudu kingereza, na umejibu kiswahili, na bado hujanielewa nilivyonadika, sasa kuna umuhimu gani wa kutumia kingereza na kukihusudu wakati lugha Mama yako huilewi?

Mkuu, ni kweli hujaelewa nilichoandika? Au hujaelewa lengo la komenti yangu?

Nikusaidie basi.....

Lengo la komenti yangu ni kwa wale wasiojua kingereza na wanao ndugu, au watoto wao wenye kuhitaji ajira na wanasifa zinazohitajika.

Kwa kingereza, ina maana vijana wale ambao hawajafanikiwa kusoma tangazo hili, watakuwa wamekosa kujaribu bahati zao.

Sasa kushindwa kunielewa kwa kiswahili, hicho kingereza ndo utaelewa?
Sasa mkuu ligi nyingine huwa hazina maana....matangazo siku zote ni kwa ajili ya wahusika na tangazo linatolewa katika lugha ambayo muhusika ataielewa....matangazo hayatolewi kwa lugha ambayo sijui ili flani aelewe ili akamwambie flani....ndo mana ukienda hata kule ajira portal/utumishi utakuta matangazo mengine yametolewa kwa lugha ya kiingereza...mengine kwa kiswahili...na mengine ni kwa lugha zote mbili...wanafanya hivyo kutokana na muhusika wanayemlenga...yote iyo ni ili taarifa imfikie muhusika...lakini lengo si sjui taarifa imfikie babu akamwambie sjui shangazi ili wamwambie mtoto wao
 
Mkuu, swala la spies ni kitu kigumu kukwepeka. Kama nchi kubwa kama US na Russia wanaweza kupenyezeana spies, JF wataweza kuzuia?

Wanaweza kuajiri staff wote wakawa ni raia tu, lakini kati ya hao waajiriwa wapya mmoja au wawili wakapewa nafasi kuwa informers/spies wa Usalama.

Kwahiyo ni changamoto, naamini management ya JF ina washauri wa ndani na nje ya nchi kuhusu maswala haya ya ki usalama, how to detect betrayer when they see one, kuongeza umakini/ulinzi juu ya sensitive information ambazo staff wanaweza kuzi access (hata kwa kuangalia tu, si lazima wachukue). So watakua na mpango maalum wa ku handle haya mambo, tuwaamini.
Nnachotaka kuwashauri ni jamobo moja,

SASA HIVI JF INAPIGWA VITA NA WATAWALA, kuweni makini mnapoajiri maana mtaishia kuajiri mashushushu JF ikafa!!

Narudia tena kuweni makini!!
 
Sasa mkuu ligi nyingine huwa hazina maana....matangazo siku zote ni kwa ajili ya wahusika na tangazo linatolewa katika lugha ambayo muhusika ataielewa....matangazo hayatolewi kwa lugha ambayo sijui ili flani aelewe ili akamwambie flani....ndo mana ukienda hata kule ajira portal/utumishi utakuta matangazo mengine yametolewa kwa lugha ya kiingereza...mengine kwa kiswahili...na mengine ni kwa lugha zote mbili...wanafanya hivyo kutokana na muhusika wanayemlenga...yote iyo ni ili taarifa imfikie muhusika...lakini lengo si sjui taarifa imfikie babu akamwambie sjui shangazi ili wamwambie mtoto wao
Watoto wa Mama ntilie, huwa tunapeana michongo kwa aina nyingi, kustuana na kuelekezana ni wapi utajaribu bahati yako.

Baba; Mama au dada,kukutana na tangazo la ajira kisha akamshirikisha mwanae au mdogo wake kuhusu ajira,.

Afu unapotoa tangazo, unalenga kusambaza taarifa kwa haraka zaidi, na taarifa inasambaa kwa njia nyingi, na moja wapo ni hiyo ya babu kumfikishia mjukuu dhima ya tangazo.


Kifupi nimegundua wewe ni punguani, ambae hujui nini maana ya Tangazo, na kama unajua, basi wewe ni mbinafsi, ukiona kitu huwezi mshirikisha ndugu au jamaa yako kwa kuwa wewe hakikuhusu na kinaemhusu unataka ajionee mwenyewe hata kama unajua hajaona na pengine asione.
 
Watoto wa Mama ntilie, huwa tunapeana michongo kwa aina nyingi, kustuana na kuelekezana ni wapi utajaribu bahati yako.

Baba; Mama au dada,kukutana na tangazo la ajira kisha akamshirikisha mwanae au mdogo wake kuhusu ajira,.

Afu unapotoa tangazo, unalenga kusambaza taarifa kwa haraka zaidi, na taarifa inasambaa kwa njia nyingi, na moja wapo ni hiyo ya babu kumfikishia mjukuu dhima ya tangazo.


Kifupi nimegundua wewe ni punguani, ambae hujui nini maana ya Tangazo, na kama unajua, basi wewe ni mbinafsi, ukiona kitu huwezi mshirikisha ndugu au jamaa yako kwa kuwa wewe hakikuhusu na kinaemhusu unataka ajionee mwenyewe hata kama unajua hajaona na pengine asione.
Matusi ya nini sasa mkuu....sawaa jamiiforums wamekusikia....watatoa matangazo yao kwa kiswahili...tena ungewashauri wayatoe kwa kinyakyusa,kisukuma,kichagga etc na ikiwezekana watangaze kabisa kwenye ma radio ili hata wababu na wabibi wasiojua kiswahili na wasiyojua kusoma wapate taarifa wakawaambie wajukuu zao kuwa jamiiforums wametangaza nafasi za kazi ili wajukuu zao waombe....vipi hapo umeridhika???
 
Matusi ya nini sasa mkuu....sawaa jamiiforums wamekusikia....watatoa matangazo yao kwa kiswahili...tena ungewashauri wayatoe kwa kinyakyusa,kisukuma,kichagga etc na ikiwezekana watangaze kabisa kwenye ma radio ili hata wababu na wabibi wasiojua kiswahili na wasiyojua kusoma wapate taarifa wakawaambie wajukuu zao kuwa jamiiforums wametangaza nafasi za kazi ili wajukuu zao waombe....vipi hapo umeridhika???
Punguani sio tusi, wala sinaga muda wa kutukana mtu.

Uongozi wa Jamiiforums ulishanijibu tangu nilipotoa maoni yangu.

Kisukuma, kinyakyusa, si lugha ya taifa.
Tunaunganishwa na lugha moja tu, lugha inayosambaa sana Duniani kwa sasa, lugha hiyo ni KISWAHILI.

Nakukumbusha tena; unapotoa tangazo, lengo lako ni kusambaza taarifa kwa haraka zaidi, na taarifa hiyo inasambaa kwa njia nyingi sana na moja wapo ni kupashana taarifa kati ya ndugu, jamaa na marafiki.

Unaposikia tangazo la nguo za watoto wadogo, haimanishi linalenga kusikikiwa na wenye watoto tu, au watoto wenyewe ndo wanafaa kulisikia na kulingatia.
Wasio na watoto, wanao ndugu na jamaa wenye watoto, wataambiana kuhusu dhima ya tangazo, watashawishiana, wataalikana.....
...

Elewa maana ya Tangazo, kisha uje tena kunikosoa,sio unakosoa ukiwa hujui unakosoa nini.

Lakini pia ni haki yangu kutoa maoni bila kuingiliwa, iwe inafaa au haifai.

Wahusika walinijibu kwa kuwa waliheshimu maoni yangu, wewe unaingilia maoni yangu bila kuyaheshimu. Unataka niwaze kama unavyowaza wewe.

Kama ulitaka tuwaze sawa, basi Mungu hakuwa na haja ya kuumba wanadamu wengi, mana mmoja angetosha kwa kuwa angewakilisha mawazo ya wengine.
 
Punguani sio tusi, wala sinaga muda wa kutukana mtu.

Uongozi wa Jamiiforums ulishanijibu tangu nilipotoa maoni yangu.

Kisukuma, kinyakyusa, si lugha ya taifa.
Tunaunganishwa na lugha moja tu, lugha inayosambaa sana Duniani kwa sasa, lugha hiyo ni KISWAHILI.

Nakukumbusha tena; unapotoa tangazo, lengo lako ni kusambaza taarifa kwa haraka zaidi, na taarifa hiyo inasambaa kwa njia nyingi sana na moja wapo ni kupashana taarifa kati ya ndugu, jamaa na marafiki.

Unaposikia tangazo la nguo za watoto wadogo, haimanishi linalenga kusikikiwa na wenye watoto tu, au watoto wenyewe ndo wanafaa kulisikia na kulingatia.
Wasio na watoto, wanao ndugu na jamaa wenye watoto, wataambiana kuhusu dhima ya tangazo, watashawishiana, wataalikana.....
...

Elewa maana ya Tangazo, kisha uje tena kunikosoa,sio unakosoa ukiwa hujui unakosoa nini.

Lakini pia ni haki yangu kutoa maoni bila kuingiliwa, iwe inafaa au haifai.

Wahusika walinijibu kwa kuwa waliheshimu maoni yangu, wewe unaingilia maoni yangu bila kuyaheshimu. Unataka niwaze kama unavyowaza wewe.

Kama ulitaka tuwaze sawa, basi Mungu hakuwa na haja ya kuumba wanadamu wengi, mana mmoja angetosha kwa kuwa angewakilisha mawazo ya wengine.
Kumbe punguani sio tusi......unaweza mwambia mzazi wako or ndugu yako kuwa yeye ni punguani????
Tuachane na hayo...ninaelewa maana ya tangazo na kila tangazo lina targeted audience...moja kati ya sifa ya hizo nafasi muombaji inatakiwa awe member humu tena kuanzia mwaka mmoja na kuendelea....hao unaotaka wewe sijui bibi zao or babu zao wakisoma tangazo waende wakawaambie haikuwa targeted audience kwa sababu sio member humu na wanakosa sifa na vigezo.

Nawapongeza jamiiforum kwa kuupuuzia ushauri wako na kuendelea kuliacha tangazo katika lugha ambayo waliiona inafaa ili waweze kuwapata watu sahihi na walengwa husika wenye vigezo wanavyoviitaji wao
 
Kumbe punguani sio tusi......unaweza mwambia mzazi wako or ndugu yako kuwa yeye ni punguani????
Tuachane na hayo...ninaelewa maana ya tangazo na kila tangazo lina targeted audience...moja kati ya sifa ya hizo nafasi muombaji inatakiwa awe member humu tena kuanzia mwaka mmoja na kuendelea....hao unaotaka wewe sijui bibi zao or babu zao wakisoma tangazo waende wakawaambie haikuwa targeted audience kwa sababu sio member humu na wanakosa sifa na vigezo.

Nawapongeza jamiiforum kwa kuupuuzia ushauri wako na kuendelea kuliacha tangazo katika lugha ambayo waliiona inafaa ili waweze kuwapata watu sahihi na walengwa husika wenye vigezo wanavyoviitaji wao


Sio kila ushauri unachukuliwa, na ndio mana ukaitwa ushauri, yani unaweza kufanyiwa kazi, au kuachwa.

Nawapongeza Jamiiforums kwa kunijibu na kunielewesha nami nikawaelewa.
Yawezekana wakati mwingine wakatumia lugha zote mbili.

Kwa kuwa ni lazima awe member humu, yawezekana alishajitoa siku kumi nyuma au hakuwa na mpango wa kuingia mtandaoni, au yupo mbali na mtandao.
Kumfikishia taarifa ni kumsaidia kujua na pia ujue tuna utambulisho bandia, yeye ndo anajua kama yupo humu au hayumo, atasoma vigezo na masharti kisha ataona sifa anazo au hana.

Lakini pia anaweza kuwa memba humu na asione uzi kwa kuwa kuna majukwaa mengi sana,ukimwambia utakuwa umemsaidia.


Unatoa sababu nyepesi sana.


Tufunge mjadala. Wahusika walishanijibu na kunielewesha lengo lao....

Kilichobaki, tushike jembe tukalime, tuijenge nchi yetu.
 
Sio kila ushauri unachukuliwa, na ndio mana ukaitwa ushauri, yani unaweza kufanyiwa kazi, au kuachwa.

Nawapongeza Jamiiforums kwa kunijibu na kunielewesha nami nikawaelewa.
Yawezekana wakati mwingine wakatumia lugha zote mbili.

Kwa kuwa ni lazima awe member humu, yawezekana alishajitoa siku kumi nyuma au hakuwa na mpango wa kuingia mtandaoni, au yupo mbali na mtandao.
Kumfikishia taarifa ni kumsaidia kujua na pia ujue tuna utambulisho bandia, yeye ndo anajua kama yupo humu au hayumo, atasoma vigezo na masharti kisha ataona sifa anazo au hana.

Lakini pia anaweza kuwa memba humu na asione uzi kwa kuwa kuna majukwaa mengi sana,ukimwambia utakuwa umemsaidia.


Unatoa sababu nyepesi sana.


Tufunge mjadala. Wahusika walishanijibu na kunielewesha lengo lao....

Kilichobaki, tushike jembe tukalime, tuijenge nchi yetu.
Mkuu unajaribu kutumia nguvu kutetea kitu ambacho sio realistic kabisa...kwa hiyo mtu awe member humu humu asione tangazo humu ila shangazi yake ndo alione alafu amwambie....or mtu sjui siku kumi zilizopita alijitoa jamiiforums kwa hiyo tuweke kwa kiswahili ili flani alione ili amwambie yaani ni mwendo wa assumptions...assumptions......assumptions.

Kila mtu ana uhuru wa kutoa maoni but tuache kulalamika lalamika kila jambo...watu wametoa tangazo tuwaachie wenye vigezo wasome na kulielewa na kama wanasifa waombe hizo nafasi.
 
Mkuu unajaribu kutumia nguvu kutetea kitu ambacho sio realistic kabisa...kwa hiyo mtu awe member humu humu asione tangazo humu ila shangazi yake ndo alione alafu amwambie....or mtu sjui siku kumi zilizopita alijitoa jamiiforums kwa hiyo tuweke kwa kiswahili ili flani alione ili amwambie yaani ni mwendo wa assumptions...assumptions......assumptions.

Kila mtu ana uhuru wa kutoa maoni but tuache kulalamika lalamika kila jambo...watu wametoa tangazo tuwaachie wenye vigezo wasome na kulielewa na kama wanasifa waombe hizo nafasi.
Maoni yangu hayakuwa na lalamishi lolote, ila unataka niwaze kama unavyowaza ndo tatizo linapoanzia.


Huoni umuhimu wa lugha Mama, mimi naona umuhimu wake na wengine waliniunga mkono.

Kila unaponijibu, najaribu kukuelewesha nia ya maoni yangu, ila hutaki kukubali mimi nina mawazo tofauti na yako, unataka tuwaze sawa, unataka niwaze kama wewe, unataka niwe kama wewe.

Hiyo kulog out siku kumi au jukwaa fulani na asione ni mifano tu, lakini yenye uhai.

Ndo mana nilikwambia ww ni punguani, hukunielewa, uliona nimekutusi, ila nakwambia wewe ni PUNGUANI.

una mawazo sahihi ila yasiopanuka.


Tangu najiunga jf, ninatembelea majukwaa manne tu, hivyo majukwaa mengine sijui hata yanamada gani, leo unashangaa mtu kutoona tangazo hapa jf?

Kila dakika kuna mada moja inapanda na moja inashuka, unataka kunambia muda wote upo unapata na kuzisoma?


Lakini sasa unajua upunguani wako ulipo?

Upunguani wako uko hapa; tazama idadi ya views mada ya Tangazo hadi sasa na ulinganishe na idadi ya watembeleaji wa mtandao kila siku, afu uone ni wangapi hawajaona tangazo.


Lakini pia sijajua ni kipi unabishania hapa...

Unabisha mapendekezo yangu au unabisha mtu kuona tangazo na kumwarifu mwenzie?

Hueleweki mkuu, na ninapo tumia mifano ili tuelewane japo kidogo licha ya mitazamo yetu kutofautiana, bado unaponda na kujadili mfano wangu niliokupa.


Unataka niwaze kama wewe, unataka nikiona tangazo na lamfaa jirani yangu, nisimwambie kwa kuwa halinilengi mimi.....



Naomba tufunge mjadala, mana Siwezi kubishana na mtu asie na mawazo ya kusambaa bali ana mawazo ya kulandana.

Kamwe hatutaelewana...
 
Maoni yangu hayakuwa na lalamishi lolote, ila unataka niwaze kama unavyowaza ndo tatizo linapoanzia.


Huoni umuhimu wa lugha Mama, mimi naona umuhimu wake na wengine waliniunga mkono.

Kila unaponijibu, najaribu kukuelewesha nia ya maoni yangu, ila hutaki kukubali mimi nina mawazo tofauti na yako, unataka tuwaze sawa, unataka niwaze kama wewe, unataka niwe kama wewe.

Hiyo kulog out siku kumi au jukwaa fulani na asione ni mifano tu, lakini yenye uhai.

Ndo mana nilikwambia ww ni punguani, hukunielewa, uliona nimekutusi, ila nakwambia wewe ni PUNGUANI.

una mawazo sahihi ila yasiopanuka.


Tangu najiunga jf, ninatembelea majukwaa manne tu, hivyo majukwaa mengine sijui hata yanamada gani, leo unashangaa mtu kutoona tangazo hapa jf?

Kila dakika kuna mada moja inapanda na moja inashuka, unataka kunambia muda wote upo unapata na kuzisoma?


Lakini sasa unajua upunguani wako ulipo?

Upunguani wako uko hapa; tazama idadi ya views mada ya Tangazo hadi sasa na ulinganishe na idadi ya watembeleaji wa mtandao kila siku, afu uone ni wangapi hawajaona tangazo.


Lakini pia sijajua ni kipi unabishania hapa...

Unabisha mapendekezo yangu au unabisha mtu kuona tangazo na kumwarifu mwenzie?

Hueleweki mkuu, na ninapo tumia mifano ili tuelewane japo kidogo licha ya mitazamo yetu kutofautiana, bado unaponda na kujadili mfano wangu niliokupa.


Unataka niwaze kama wewe, unataka nikiona tangazo na lamfaa jirani yangu, nisimwambie kwa kuwa halinilengi mimi.....



Naomba tufunge mjadala, mana Siwezi kubishana na mtu asie na mawazo ya kusambaa bali ana mawazo ya kulandana.

Kamwe hatutaelewana...
Umeandika mambo mengi lakini ni upunguani mtupu...acha nikuache na uzwazwa wako mana natumia mda mwingi kulielimisha punguani zwazwa....kila la kheri
 
That’s my girl! Ndiyo maana nakupenda weye! Hupindishi ukweli ❤️😘

Niwe mkweli..hata wangekua wanalipa 3m sitataka ajira kamwe!...ila ningekuwa mod mm jaman mccm yyt yule nampa ban ya mwezi..au nakuwa nafuta comments zao..au naedit mbayaaa..arghhhh!

ww apply maa!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom