Nafasi za JKT zinatoka lini?

maria asali

Member
Mar 17, 2016
12
0
Naomba kujuzwa kwa anaofahamu nafasi za jkt mikoani zinatoka lini??

=========================================

Mkuu, jeshini kwa sasa kuna figisu sana na JKT kwa kujitolea baada ya mafunzo unakaa 2yrs kusubiri jina.
Depo la mwisho mwaka jana lilikuwa na figusu sana sijui utawala mpya wa Mabeyo.
Kiufupi elimu yako ni kubwa na very marketing unaweza kupta ajira na ukasahau jeshi.
However nakusapoti sana ukiingia jeshini fani yako ni dili sana
gender yako inatakiwa sana jeshini nowdays.

NB
Kama upo Dar nenda makao makuu kabla hayajahia Dodoma. Shuka Muhimbili njia kama unaenda masaki barabara ya pili kutoka ile ya Don Bosco ifuate kuna geti la nyuma pale waambie wale was mlangoni hawana noma watakuelekeza kwa muajiri mkuu was jeshi ni kanali mmoja hivi hana shida kama wanahitaji accountant atakuweka ktk waiting list. Hii ilishamsaidi mtu wangu was karibu try this

jeshi.png
 
Tulia mkuu bado sana hawa walioenda wamefungua kozi juzi tu watamaliza around June 2017 tegemea nafasi kutoka ni mwezi wa saba andaa pesa ya kuhonga isiyopungua laki saba
Mkuu laki saba parefu sana aisee but nimesikia tetesi kuwa watatoa nafasi mwezi wa 4 ila mchakato utachukua mwezi mmoja so watu wataingia makambini mwezi wa 5
 
Haaaa aisee laki saba parefu sana mkuu but nimesikia tetesi kuwa mwezi wa ta

Mkuu laki saba parefu sana aisee but nimesikia tetesi kuwa watatoa nafasi mwezi wa 4 ila mchakato utachukua mwezi mmoja so watu wataingia makambini mwezi wa 5
Nakuambia ukweli mkuu ukiwa na laki saba keshi huwezi koswa chance ya Jakarta huo ndoo ukweli huamini wewe tumia njia halali utakuja kuniambia
 
Haaaa aisee laki saba parefu sana mkuu but nimesikia tetesi kuwa mwezi wa ta

Mkuu laki saba parefu sana aisee but nimesikia tetesi kuwa watatoa nafasi mwezi wa 4 ila mchakato utachukua mwezi mmoja so watu wataingia makambini mwezi wa 5
Umesikia kutoka wapi?
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom