Son Of Almighty
Senior Member
- Jun 28, 2017
- 119
- 427
Nahitaji vijana wawili, kampuni inajihusisha na uuzaji wa vifaa vya solar.
Malipo ni commissions na points kulingana na mtambo husika..
Mkataba ni mwaka mmoja, kwa wataofanikiwa kuuza na kufika target au zaidi kwa muda wa miezi sita mfululizo, basi watajipatia ajira yake kudumu na benefits ikiwemo mshahara, medical cover, etc..
Elimu kuanzia diploma, kwa mwenye elimu ya Kidato cha sita ila awe uzoefu wa kazi za sales basi awasiliane nami..
Eneo ni Kilimanjaro, eneo la kazi, ni Wilaya ya Mwanga majumbani Same..
Nahitaji watu smart, wachapakazi, wanaojitambua..
Check me via 0752290862
Malipo ni commissions na points kulingana na mtambo husika..
Mkataba ni mwaka mmoja, kwa wataofanikiwa kuuza na kufika target au zaidi kwa muda wa miezi sita mfululizo, basi watajipatia ajira yake kudumu na benefits ikiwemo mshahara, medical cover, etc..
Elimu kuanzia diploma, kwa mwenye elimu ya Kidato cha sita ila awe uzoefu wa kazi za sales basi awasiliane nami..
Eneo ni Kilimanjaro, eneo la kazi, ni Wilaya ya Mwanga majumbani Same..
Nahitaji watu smart, wachapakazi, wanaojitambua..
Check me via 0752290862