Nafasi za Ajira za muda za Makarani na Wasimamizi wa Sensa ya Watu na Makazi ya mwaka 2022

Kata moja wanatakiwa wangapi
Kata Moja Inategemea Sasa Na Ukubwa wa Kata na Mahitaji ya Kata na hapo ni hasa Kwa makarani.

Lakini Kwa wasimamizi wa Sensa kimsingi Kata Moja inakuwa na wasimamizi wawili I mean wa maudhui na tehama Ila kama inatokea labda kwenye wilaya INA Kata nyingii kuliko idadi ya wasimamizi itabidi Kata zaidi ya moja zisimamiwe na wasimamizi wawili inaweza ikawa Kata Tatu au NNE itategemea, maanake kuna halmshauri nyingine zina Kata nyingii Sana alafu unakuta idadi ya walioomba Usimamizi ni wachache Sana kwahiyo itabidi waweze kubalance.

Kimsingi Nafasi za ukarani ni nyingii Sana kuliko wasimamizi na wengi Sana wameomba ukarani kuliko Usimamizi kwahiyo wao wenyewe wataangalia Namna gani waweze kubalance kulingana na Mahitaji ya Kata husika.
 
Usiite majina mkuu, kata wataombwa na nbs kutuma majina ya vijana ambao copy zao zipo ofisini na verification kwamba ni wakaazi wa huo mtaa then nbs itawaweka kwenye list, haina guarantee kwamba majina atakayopeleka mtendaji ndio atapewa kazi..NO.. Na huu ndio ukweli.
daah wenye bifu na watendaji imekula kwetu
 
Ndio hivyoo Mkuu..
Hiyo Ndo Taarifa Rasmi kutoka NBS.
Tutegemee ndani ya wiki tatu zijazo majina kutoka, usahili ufanyike na watakaofanikiwa kupita kwenye Usahili wataanza mafunzo Yao ndani ya siku 21.

Ngazi ya mkoa wameanza Leo wanapewa hela Nzuri Sana 150k per day almost 3.1M mpaka mafunzo yanaisha.
Jamaa wapo vizuri wamejipanga Sana kiukweli.

Tuwe Wavumilivu Tu
Yajayo Yanafurahisha.
Khaaaaaaaah nimeghaili, Pesa yote hiyooo? Kweli hii ni tz ya Michongo
 
Kata Moja Inategemea Sasa Na Ukubwa wa Kata na Mahitaji ya Kata na hapo ni hasa Kwa makarani.

Lakini Kwa wasimamizi wa Sensa kimsingi Kata Moja inakuwa na wasimamizi wawili I mean wa maudhui na tehama Ila kama inatokea labda kwenye wilaya INA Kata nyingii kuliko idadi ya wasimamizi itabidi Kata zaidi ya moja zisimamiwe na wasimamizi wawili inaweza ikawa Kata Tatu au NNE itategemea, maanake kuna halmshauri nyingine zina Kata nyingii Sana alafu unakuta idadi ya walioomba Usimamizi ni wachache Sana kwahiyo itabidi waweze kubalance.

Kimsingi Nafasi za ukarani ni nyingii Sana kuliko wasimamizi na wengi Sana wameomba ukarani kuliko Usimamizi kwahiyo wao wenyewe wataangalia Namna gani waweze kubalance kulingana na Mahitaji ya Kata husika.
Mkuu mfano kwenye kitongoji kimoja ni makarani wangapi watahusika kuhesabu watu kwa huku kijijini?
 
NBS baada ya kuchambua majina ya watu walioomba watawarudishia Kata ili waweze kuendesha Usahili Kwa kuwa NBS wao hawawezi kuwajua watu wa kwenye hiyo Kata I mean walioomba.

Watakaofanyiwa Usahili ni wale ambao walioomba kufanya Kazi kwenye Kata husika wakatuma Maombi Yao NBS, wakayachambua na kuwarudishie tena watu wa Kata waendeshe usahili.

Baada ya usahili kufanyika watu wa Kata ndo watayatuma majina Ya Watu waliopita kwenye Usahili wa Kata NBS ili na wao waweze kuhakiki baada ya hapo ndo watayatao Kwa ujumla majina ya ambao wamefanikiwa kupita kwenye Usahili na hao ndo watakaoenda kwenye mafunzo ya siku 21.

Sasa Hapo ni kulia na Watendaji maana wao Wana nafasi KUBWA Sana ya kumuweka nani na kumuacha Nani. NBS wao ni kama wanasimamia Tu mchakato lakini kiuharisia Watendaji ndo kila kitu kwenye hili Zoezi.
Hivi usahili ni interview au mi nachanganya mambo hapa??
 
Usiite majina mkuu, kata wataombwa na nbs kutuma majina ya vijana ambao copy zao zipo ofisini na verification kwamba ni wakaazi wa huo mtaa then nbs itawaweka kwenye list, haina guarantee kwamba majina atakayopeleka mtendaji ndio atapewa kazi..NO.. Na huu ndio ukweli.
Kwa hiyo wale ambao hawakuacha kopi kule katani inakuaje? Ina maana NBS hawatatuma majina Katani?
 
Back
Top Bottom