Rudia kusoma ulichoandika, alafu tafakari kwa kina.Tetesi nikwamba form four wote wataliwa vichwa watachukuliwa form six na degree na umri watachukuwa 23 yrs hadi 35 tu hizi nimepewa na mtu wangu wa NBS
Ujue watu wa takwimu wapo humu pia wanatuchola mtu wangu . Mm swali langu ni kwamba je watajuaje kuwa hili dole gumba sio la zainab??? Tupo million 60 Tanzania kujua kila dole gumba huo ni uongo, mm natia madole yangu bhana
Mzee baba weka zote tatu wale wajumbe ni makompliketa sanaMie nime scan page mbili badala ya 3 maana ya tatu sio issue vile ila ya kwanza ndo kusaini na ya pili ndo kusaini so ya tatu nimeipiga cha juu kama ntakavyoliwa cha juuu wa wapangaji
Aende kuhuisha taarifa huko siteKuna jamaa ni mtumishi wa umma ile sehemu ya hali ya ajira kakosea akaandika amejiajiri badala ya mwajiriwa halafu kwenye ile fomu namba 1 ya sensa mkuu wake wa kituo kamsainia,je italeta shida?
Jamaa ndo wewe mkuuKuna jamaa ni mtumishi wa umma ile sehemu ya hali ya ajira kakosea akaandika amejiajiri badala ya mwajiriwa halafu kwenye ile fomu namba 1 ya sensa mkuu wake wa kituo kamsainia,je italeta shida?
Kwan ni lazima kupeleka kwa mtendaji ukishatuma mtandaoni?Daaa nilisahau kuwaachia form pale ofisi ya mtendaji,kesho nawapelekea
Ni lazimaKwan ni lazima kupeleka kwa mtendaji ukishatuma mtandaoni?
Iyo meseji ni ya kawaida mfano ukiwa unaomba kazi kwenye kampuni via email address mda mwingine utuma text ya kukushukuru au text ya kuonesha ujumbe wako umepokelewa so tusubili tuone watakaopataAngalieni kwenye account zenu za maombi ya sensa kuna ujumbe wa Hongera
Hata mm nina tatizo kama lakoNdugu zangu mimi Nimefanikiwa kupakia fomu Namba 1 iliyosainiwa lakini kwenye komenti ya mfumo wa NBS wanaandika : Maombi yanasubiri fomu Namba moja iliyosainiwa kwenye kile kipengele Cha maombi yalipofikia!
Shida itakuwa wapi hapo ili kukamilisha maombi?
Wajuzi Masada.
Hayo ni maneno ya kukupa matumaini tu. Ila mwenye vigezo yyte anastahili kupata hiyo kaziJamani embu tusaidiane hapa ,. Kwenye maoni ya mtendaji kaniandikia * "AFIKIRIWE , ANASTAILI. Vila kwa wengine wameandikiwa * AFIKIRIWE *
Je wajuaji wa masuala ya. Kiserikali maana serikali ni sirikali otherwise.... So vipi ndo code zinazotumika kwenye assessing from kijiji.......mtaa.......kata.....tarafa.......jimbo......wilaya .......mkoa........then taifa aub?
nichek 0625768763mkuu hii changamoto umeitatuaje maana mimi hadi sasa holaa nimepakia fomu lakini naambiwa maombi yanasuburi fomu namba moja akati nishaiweka
we acha tuMtaalam tunayemtegemea kufanya kazi ya sensa kwa kutumia Kishikwambi ameenda stationary akalipa 10000 ili asadiwe kufanya application, nawangoja wa hivi waje kwenye interview watajua hawajui
nichekTuma msg nyingi sana wanakujibu.
Ndio,soma vizuri tangazo hapo mwishon kabisaKwan ni lazima kupeleka kwa mtendaji ukishatuma mtandaoni?