Kennedy
JF-Expert Member
- Dec 28, 2011
- 49,008
- 54,277
Sawa SawaKitambo
Sawa SawaKitambo
Habari kaka.Temeke kata ya Yombo Vituka ukitoka mnitag.
Muulize Yombo ipi? Kuna Yombo dovya, Yombo vituka, Yombo reli,n.k.Habari kaka.
Kuna dada nina shida nae, kuonesha nipo serious nimemwambia popote alipo niko tayari kumfata tuonane.
Mie nipo mitaa ya Ubungo.
Dada ameniambia anaishi Temeke Yombo. Amesema kama ni kuonana, basi isiwe mitaa ya mbali na Temeke. Yaani tusiende mbali. Anaishi kwao.
Mie Temeke sio mwenyeji, napajua Tandika kituo cha daladala na ile barabara ya kwenda Buza.
Naomba unielekeze Yombo iko pande gani. Yaani nafikaje.
Halafu kingine, maeneo ya huko Temeke kuna mahali tulivu naweza mpeleka mtu wangu tukakaa kwa ajili ya mazungumzo.
Wote hatunywi pombe.
Napenda sehem iwe na mandhari tulivu, romantic. Tuweze kuongea kwa utulivu, kisha giza likiingia nimrudishe kwao Yombo mie nirudi Ubungo.
Nisaidie mkuu. Nampenda sana huyu dada.
Kuhusu usafiri nina private car.
Sawa.Muulize Yombo ipi? Kuna Yombo dovya, Yombo vituka, Yombo reli,n.k.
Mwambie akupe kituo uelekezwe vizuri.
Jua kwanza mahali anaishi, sehemu za kupoa ni nyingi sana mfuko wako tu mkuu.Sawa.
Naulizia pia mahali tulivu romantic naweza kwenda nae (maeneo ya huko huko Temeke) tukakaa tukaongea, ama tukala hivi...
Naomba unielekeze kama unajua sehem yoyote nzuri.
Yaani wewe ndioSawa.
Naulizia pia mahali tulivu romantic naweza kwenda nae (maeneo ya huko huko Temeke) tukakaa tukaongea, ama tukala hivi...
Naomba unielekeze kama unajua sehem yoyote nzuri.
Yaani kama wewe ndio
Umeufufua huu UZI. Kila La kheri huko unakoenda tunatarajia kula ubwabwa verisuni nadhani