GAZETI
JF-Expert Member
- Feb 24, 2011
- 5,277
- 6,673
Habari zenu ndugu zangu,
Najua wazi tuko makundi tofauti kuhusu hoja hii ninayoiweka jukwaani,
tupo ambao hatuamini ushirikina kabisa, tupo ambao tunaamini lakini
hatuutaki kwa sababu za imani nyingine, tupo ambao tunaamini na
tunaupenda pia tupo ambao tunaupinga mdomoni lakini moyoni
tunaamini.
Tuachane na hayo, kuna usemi wa kiswahili LISEMWALO LIPO......
kwa hali ilivyo sasa ni wazi kuwa baadhi ya watu hutumia dawa (ushirikina)
Kuboresha mapenzi yao.
Je! Ni kweli ipo dawa ya kuboresha mapenzi? umewahi kutumia au
Kushuhudia? Tueleze. Una ushauri gani kwa watu wanaotafuta dawa kwa ajili ya
kuboresha mapenzi yao kama vile kumfanya mume asiende nje n.k
NAWASILISHA
Najua wazi tuko makundi tofauti kuhusu hoja hii ninayoiweka jukwaani,
tupo ambao hatuamini ushirikina kabisa, tupo ambao tunaamini lakini
hatuutaki kwa sababu za imani nyingine, tupo ambao tunaamini na
tunaupenda pia tupo ambao tunaupinga mdomoni lakini moyoni
tunaamini.
Tuachane na hayo, kuna usemi wa kiswahili LISEMWALO LIPO......
kwa hali ilivyo sasa ni wazi kuwa baadhi ya watu hutumia dawa (ushirikina)
Kuboresha mapenzi yao.
Je! Ni kweli ipo dawa ya kuboresha mapenzi? umewahi kutumia au
Kushuhudia? Tueleze. Una ushauri gani kwa watu wanaotafuta dawa kwa ajili ya
kuboresha mapenzi yao kama vile kumfanya mume asiende nje n.k
NAWASILISHA