TZ-1
JF-Expert Member
- Sep 28, 2020
- 3,095
- 5,281
Habari Wanajamvi naleta Hoja hii mezani kwakuw hivi karbu mke wangu aliomba uhamisho (kujihamisha kwa gharama zake) wa ndani ya wilaya Lengo ikiwa awe karbu nami (family) zaid ofisi ikampeleka mbali zaidi na mimi sasa pamoja na hatua mbalimbali nilzofanya za kumshaur aandike barua yakusitisha uhamisho huo kwakuw upo nje ya malengo yake ofisi imekataa inamtak aend kwenye kituo kpya kwa msimo sisi tuliouweka aendelee kufanya kaz kwenye kituo chake cha zamani.
Sasa naomba taratbu za kisheria/ ushauri ili nimalze hili swala awez kuja karbu na ktuo ninachofanyia kazi.
(Ofisi inatambua kuw sisi ni mke na mume na mazngr aliyopelekwa hayan usafir wa umma kwamba anawez kwend na kurud , lazm mimi nikodi pikpk au nimpelek then nirud kzn kwang jion Tena nimfate).
Sasa naomba taratbu za kisheria/ ushauri ili nimalze hili swala awez kuja karbu na ktuo ninachofanyia kazi.
(Ofisi inatambua kuw sisi ni mke na mume na mazngr aliyopelekwa hayan usafir wa umma kwamba anawez kwend na kurud , lazm mimi nikodi pikpk au nimpelek then nirud kzn kwang jion Tena nimfate).