Katika chaguzi zote zilizopita ni wazi kuwa wanawake/wakinamama ndio wapigaji kura wakubwa na wenye uhakika na kura zao. Kote mijini na vijijini hili ni kundi la wapigakura ambalo huwezi kulifumbia macho hata kidogo. Kwa takwimu wanawake ndio wapigaki kura wengi kuliko makundi mengine. Hii ni fact wandugu. Sasa je kwaCCM kumchagua mwanamama kuwa mgombea mwenza hii inamaana gani kwenye ile pattern (mtiririko) ya upigaji kura Tanzania?
Kwa maoni yangu naona ya kuwa wakinamama wengi watampigia kura mwanamama mwenzao kwa kuona kuwa kwa mara ya kwanza kwa Taifa letu mwanamama atakuwa makamu wa Rais pengine na Rais baadaye. Hii haijawahi kutokea na naona kuwa itakuwa kete kubwa na muhimum kwenye uchaguzi wa mwaka huu na huenda ikamua mshindi asubuhi na mapema. Wenzangu mnalionaje hili?
Kwa maoni yangu naona ya kuwa wakinamama wengi watampigia kura mwanamama mwenzao kwa kuona kuwa kwa mara ya kwanza kwa Taifa letu mwanamama atakuwa makamu wa Rais pengine na Rais baadaye. Hii haijawahi kutokea na naona kuwa itakuwa kete kubwa na muhimum kwenye uchaguzi wa mwaka huu na huenda ikamua mshindi asubuhi na mapema. Wenzangu mnalionaje hili?