Nafasi ya kazi ya Sales Tracking and Alarm systems

usalama kwanza

JF-Expert Member
Oct 3, 2012
386
157
Wanahitajika vijana wawili kwa ajili ya kazi ya mauzo ya vifaa vya usalama kwenye magari tracking and alarm systems .

Sifa: Awe mchapakazi na mwenye kujituma , awe ana lugha nzuri kwa wateja.

Malipo: Malipo ni kwa kamisheni ambayo ni asilimia kumi ya mauzo , Tunatoa Transport na commucation allowance.

Huduma nyingine tutoazo; Electric fence installation, CCTV cameras, Video intercomms, Intruder alarm systems, Access control systems, Automatic gates.

Mahali : Tunapatikana Dar es salaam tegeta , kazi tunafanya tanzania nzima.

Mawasiliano: 0714890018 tuma meseji ya maneno ukihelezea mahitaji ya kazi , nitakupigia baada ya kupata meseji yako.
 
Wanahitajika vijana wawili kwa ajili ya kazi ya mauzo ya vifaa vya usalama kwenye magari tracking and alarm systems .

Sifa: Awe mchapakazi na mwenye kujituma , awe ana lugha nzuri kwa wateja.

Malipo: Malipo ni kwa kamisheni ambayo ni asilimia kumi ya mauzo , Tunatoa Transport na commucation allowance.

Huduma nyingine tutoazo; Electric fence installation, CCTV cameras, Video intercomms, Intruder alarm systems, Access control systems, Automatic gates.

Mahali : Tunapatikana Dar es salaam tegeta , kazi tunafanya tanzania nzima.

Mawasiliano: 0714890018 tuma meseji ya maneno ukihelezea mahitaji ya kazi , nitakupigia baada ya kupata meseji yako.
Sawa mkuu vijana tutakuchek
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom