Nafasi ya kazi Secretary

Elisha Chuma

JF-Expert Member
Jul 22, 2013
275
262
Kuna ofisi inahitaji Secretary
Elimu kuanzia diploma.
Miaka kati ya 22 - 34
Awe na uelewa mzuri wa lugha ya Kiswahili na Kingereza ( kusoma, kuandika na kuongea )
uwezo mzuri wa kutumia computer (microsoft office )
Eneo la kazi ni Dar es Salaam.
Tuma maombi ambatanisha na CV tu.
Mwisho wa kutuma maombi ni 29 March 2021.

aplication244@gmail.com
 
Kuna ofisi inahitaji Secretary
Elimu kuanzia diploma.
Miaka kati ya 22 - 34
Awe na uelewa mzuri wa lugha ya Kiswahili na Kingereza ( kusoma, kuandika na kuongea )
uwezo mzuri wa kutumia computer (microsoft office )
Eneo la kazi ni Dar es Salaam.
Tuma maombi ambatanisha na CV tu.
Mwisho wa kutuma maombi ni 29 March 2021.

aplication244@gmail.com
hamna jina la kampuni
hamna videzo vinaeleweka
hata kama tuna shida ya kazi not to this extent aiseee hata kma una kazi tangazeni vizuri mtu akisoma aelewe
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom