Joowzey
JF-Expert Member
- Nov 13, 2015
- 13,089
- 13,299
Pole mkuu kama nimekukwaza kwa hyo comment.Mtu ukila maharage ukashiba unaruhusiwa kuwaza chochote na kuandika chochote tu, by the way kwani si ni bure ku comment JF bwana, kwani shida iko wapi.
lakini pia angalizo usichukulie kila kinachoandikwa huku serious..vinginevyo utaumiza hisia zako mno..
again sory