Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kakwambia nani?
Hio inakaa poa xaxa xio hujibu kiongozKaka mbona nilishasema kabisa hii kazi kwa wadada mkuu?
Subiri itatokea ya wanakaka soon utaomba mkuu. Relax.
Mkuu unakunjurua makucha kabla hata ya usaili, are'u serious?Daah hili tangazo ndo naliona leo, nyie mada ulishapata dereva? Nipo hapa, Mie Napenda sana kuendesha magari na huwa niko makini niwapo barabarani na huwajali sana abiria wangu. Kabla sijaanza safari nawatangazia kama wako kwenye Emirates.
Shurti tuu gari ntalofanyia kazi liwe BMW.....
Mshahara nakuachia unipe ambao una uwezo wa kunilipa, sita bargain. Sharti jingine sitalala nyumbani yako, ntakuwa nakuja na kuondoka.
Muhimu uzingatie muda wangu wa kazi, na route tutazokubaliana siku naanza kazi. Route za kuchomekewa kama boda, ntavunja mkataba. Ovataimu huwa sifanyi.
Ntafurahi sana kufanya kazi na familia yako, suala la kupeleka hadi gereji kwa sevisi na matengenezo usihofu ntalimudu pamoja na kulipeleka kawoshi Ila gharama ni zako.
Gari iwe na AC maana sipendi endesha vioo wazi na iwe na light tinted, sipendi macho kodo.
Ndimi Matata Kasie.
Dereva Mzoefu bin Mtiifu.
Mkuu usidhani kila kinachoandikwa humu watu wanamaanisha kweli...humu kuna watu wana good life,hata akikuomba kazi umpe usimpe hababaishiki...tunaoomba kazi huku mikono nyuma ni sisi wengine ambao maisha yetu tunayajua wenyeweMkuu unakunjurua makucha kabla hata ya usaili, are'u serious?
Wenzako huwa wanaomba hivyo vibarua kwa kurudisha mikono nyuma kama asimamavyo 'miguu pande' askari.
Ukishapata hiyo ajira,tena kwa kujaziana mikataba ya kisheria ndiyo sasa hizo 'nonga' waweza kuzisafisha waziwazi.
Ana good life wapi usikute anaishi tu kwa dada yake mtu kama huyo mtu ambae anaejielewa hata wakishua hawezi ongea ujinga kama huo.Mkuu usidhani kila kinachoandikwa humu watu wanamaanisha kweli...humu kuna watu wana good life,hata akikuomba kazi umpe usimpe hababaishiki...tunaoomba kazi huku mikono nyuma ni sisi wengine ambao maisha yetu tunayajua wenyewe
Kwa kweliMkuu usidhani kila kinachoandikwa humu watu wanamaanisha kweli...humu kuna watu wana good life,hata akikuomba kazi umpe usimpe hababaishiki...tunaoomba kazi huku mikono nyuma ni sisi wengine ambao maisha yetu tunayajua wenyewe
Angekuwa kapuku angeandika hayo unadhani?Ana good life wapi usikute anaishi tu kwa dada yake mtu kama huyo mtu ambae anaejielewa hata wakishua hawezi ongea ujinga kama huo.
Inawezekana mkuu asiwe na good life,but humu kuna watu wana good life sana though sio wote but kuna wanaoigiza pia...sio wote wapo na maisha kama tunayoishi mimi au wewe mkuuAna good life wapi usikute anaishi tu kwa dada yake mtu kama huyo mtu ambae anaejielewa hata wakishua hawezi ongea ujinga kama huo.
Yaani kwa mtu asiyejua wana jf unaweza dhani kila mtu anaigiza maisha humu ingawa kuna wanaoigiza kweli...but humu sio kila mtu ni mwenzetuKwa kweli
Leseni yako bado hujarenew?Dah, fursa inanipita kizembe kabisa hii, kila rakheri kwa wenye vigezo
Mkuu unakunjurua makucha kabla hata ya usaili, are'u serious?
Wenzako huwa wanaomba hivyo vibarua kwa kurudisha mikono nyuma kama asimamavyo 'miguu pande' askari.
Ukishapata hiyo ajira,tena kwa kujaziana mikataba ya kisheria ndiyo sasa hizo 'nonga' waweza kuzisafisha waziwazi.
Hahaaa, sina kabisa mkuuLeseni yako bado hujarenew?
mkuu cna kazi nionee huruma mi nidereva mzuri tuuWakuu poleni sana na mihangaiko ya hapa na pale.
Familia yangu inatafuta dereva mwenye leseni class D na kuendelea (E, C...) kwa ajili ya gari ndogo ya nyumbani ikijumuisha kupeleka watoto shuleni na kazi zingine zihusuzo kuendesha gari kwa mchana tu. Kutokana na mambo kadhaa wa kadhaa familia inapendelea dereva mwanamke anayejiamini, anaejua kazi yake na mwenye weledi barabarani.
Kama wewe ni mmoja wapo au unamfahamu mdada mwenye sifa hizo karibu sana pm kwa maelekezo mengine au tupia namba yako hapa nikutwangie
Shukrani za kipekee kwenu wote
Basi utafute kabla Gari lako uliloagiza Japan halijafikaHahaaa, sina kabisa mkuu