Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 18,260
- 33,855
1978 hadi 2017 imeshapita miaka zaidi ya 39 na hapa halizungumziwi jeshi la Wananchi ambalo kazi yake ni kulinda mipaka ya nchi yetu. Hapa linazungumziwa Jeshi la Polisi.Jeshi? Kamuulize amini
Jeshi la polisi halikupigana na Idd Amin na kazi yake kubwa ni usalama wa raia na siyo vita. Ukiangalia vigezo vilivyotumika utaona kuna ukweli fulani katika hilo. Kwa mfano ni mara ngapi wananchi wamelalamika kuwa Jeshi la Polisi huwa hawafiki kwa wakati kwenye matukio ya Uhalifu wanapopewa taarifa ya kutokea kwa matukio hayo?