YEHODAYA JF-Expert Member Aug 9, 2015 36,910 51,904 Dec 9, 2020 #1 Nafasi ya Godbless Lema ya mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Kaskazini itajazwa lini? Kama tujuavyo Lema amekimbia nchi kwa madai ya changamoto za kisiasa na kuelekea Kenya kupata hifadhi. Naomba jibu, kuuliza si ujinga.
Nafasi ya Godbless Lema ya mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Kaskazini itajazwa lini? Kama tujuavyo Lema amekimbia nchi kwa madai ya changamoto za kisiasa na kuelekea Kenya kupata hifadhi. Naomba jibu, kuuliza si ujinga.
Zuwenna JF-Expert Member Jun 2, 2015 2,037 3,320 Dec 9, 2020 #2 Chadema Saivi Ipo Ipo Siku zinakwenda
USSR JF-Expert Member Jul 15, 2015 9,892 22,649 Dec 9, 2020 #3 Ataongoza akiwa ughaibuni maana hata lisu ni makamo mwenyekiti taifa na anaongoza akiwa Ulaya. Chadema ni mpango wa shetani kabisa.
Ataongoza akiwa ughaibuni maana hata lisu ni makamo mwenyekiti taifa na anaongoza akiwa Ulaya. Chadema ni mpango wa shetani kabisa.
Idugunde JF-Expert Member May 21, 2020 6,273 6,637 Dec 9, 2020 #4 Acha uchokozi, tuna machungu ya kukosa ubunge, habari za Lema za nini?
M mtanzania1989 JF-Expert Member May 20, 2010 4,064 6,733 Dec 9, 2020 #5 😂 Ile movie ya kuomba ukimbizi CD ili scratch episode ya pili tu, Lema anavuta pumzi tu ila muda si mrefu atarudi bongo tu na nyumbu watashangilia.
😂 Ile movie ya kuomba ukimbizi CD ili scratch episode ya pili tu, Lema anavuta pumzi tu ila muda si mrefu atarudi bongo tu na nyumbu watashangilia.
kipara kipya JF-Expert Member May 2, 2016 13,934 15,701 Dec 9, 2020 #6 Ama kwa hakika tunakosa uchambuzi wa vifungu vya biblia!
M Matrix19 JF-Expert Member Feb 24, 2020 5,223 9,058 Dec 9, 2020 #8 Akihakikishiwa usalama wake kama wanaotembea na convoy jammer
Daudi Mchambuzi JF-Expert Member Nov 25, 2010 62,204 128,012 Dec 9, 2020 #9 Masikini mataga mmejikuta mpo idle mmeachiwa uwanja peke yenu mnatafutiza wa kumshambulia hamumpati.
E Enzi na Enzi JF-Expert Member May 29, 2020 888 821 Dec 9, 2020 #10 Huyo yupo mjini arusha hajakimbia nchi! Ni mbwembwe tu
msweety JF-Expert Member Dec 5, 2014 666 1,553 Dec 9, 2020 #11 Ukisikia kuwashwa ndo Huku. Ya Chadema yanakuhusu nini?
kigogo warioba JF-Expert Member Jul 11, 2015 6,048 9,392 Dec 9, 2020 #12 Unaulizia ya jirani ya kwenu mnayashindwa? Mbona huulizii nafasi iliokua ya poli poli mwenezi itajazwa na nani!? Mbona mnaweweseka?
Unaulizia ya jirani ya kwenu mnayashindwa? Mbona huulizii nafasi iliokua ya poli poli mwenezi itajazwa na nani!? Mbona mnaweweseka?
denooJ JF-Expert Member Mar 31, 2020 18,512 68,141 Dec 9, 2020 #13 Wakiwepo mnawapa mikesi ya ajabu, wakiondoka mnawakumbuka, sijui mmelogwa na nani.
Magema Jr JF-Expert Member Apr 22, 2020 1,299 1,201 Dec 9, 2020 #14 Chadema wapo wapo tu kama mijusi ya ndani (haina faida yoyote)
Sky Eclat JF-Expert Member Oct 17, 2012 57,597 215,270 Dec 9, 2020 #16 Itajazwa siku Ndungai atakapogundua ana wabunge 19 batili.