Nafasi ya Bill Gates na sekeseke linaloendelea duniani

Nini kifanyike sasa ili kutatua hilo tatizo? au tusubiri kufa tu?
Kuna majibu mawili --- kama wanadamu, tunatakiwa kuijua na kisha kuikataa mipango ya globalists. Kukataa haimaanishi lazima ushinde, lakini ni heri kushindwa huku ukikataa kukubaliana na uovu kuliko kutega shingo kwa mtu mwovu aliyekusudia kukuangamiza. Ukishatambua kuwa jambo hili si ajenda ya afya bali ni mbinu za globalists, hutakubali. ----------- Lakini kama wafu watarajiwa, mbele yetu tunakabiliwa na MILELE (ETERNITY). Maandiko yameonya kuhusu nyakati hizi na kutuambia nini tufanye. Tukikataa, yaliyo ng'ambo yam mauti sote tunayajua.
 
Verification ni namna mambo yanavyoenda mkuu. Jiweke tu kwenye position ya miaka 2000 zamani ambapo jamii ya dunia ilikuwa kwenye rudimentary stage kwelikweli - hakuna simu, hakuna redio, hakuna telescope, hakuna viwanda vikubwa, hakuna injini - lakini mtu mmoja kutoka Galilaya akaandika kwamba
Ufunuo 13.16 Naye awafanya wote, wadogo kwa wakubwa, na matajiri kwa maskini, na walio huru kwa watumwa, watiwe chapa katika mkono wao wa kuume, au katika vipaji vya nyuso zao; 13.17 tena kwamba mtu awaye yote asiweze kununua wala kuuza, isipokuwa ana chapa ile, yaani, jina la mnyama yule, au hesabu ya jina lake.---------------- mambo ambayo tunaona yanaiva 2000 years later, ambapo akina bill gate wanafanya haya.
Mkuu sipingani na wewe lakini tafsiri ya Revelation 13 nadhani ndio ninachosema imekaa kiimani zaidi kuliko realization in physical forms.

Maana hapa ni nadharia sawa na za askofu mmoja aliyepata u maarufu hivi karibuni sababu anaamini katika uelekeo huo.
Ni kweli prophecy itakuwa fulfilled lakini it’s questionable kuiweka katika muktadha wa what we see now and try to predict what is likely to come next and in the future, relatively.
 
Suala la Revelation 13 ni belief. Inaweza kuwa verified vipi?
Kwani belief zingine huwa zinakuwa verified vipi? Unless kama unasema kuwa belief haziwezi kuwa verified.
Nielewe hapa nimesema kuwa, belief zinaweza kuwa verified ila si kwa njia ile ambayo sayansi ya kawaida huwa inatumia
 
Umewahi jiuliza kwanini zinaitwa 'conspiracy theories?'
Cause any one can make up that shit...
 
Back
Top Bottom