Tujikomboe Finance
JF-Expert Member
- May 8, 2013
- 212
- 79
Tunajishughulisha na shughuli za Microfinance, ofisi zetu zipo Mbagala Rangi Tatu jirani na Akiba Commercial Bank. Tunahitaji mhitimu wa shahada ya uhasibu ambaye anataka kujifunza kazi (kupata uzoefu). Sifa zake ziwe kama ifuatavyo:
Vigezo na masharti hayo kuzingatiwa. Kama umevutiwa tafadhali niandikie kwa sanduku(inbox), au piga 0754 300 880
- Awe na stashahada au shahada ya uhasibu
- Awe wa jinsi ya kike ili kuleta uwiano wa 50/50
- Umri usizidi miaka 30
- Awe mkazi wa Tarafa ya MBAGALA
Vigezo na masharti hayo kuzingatiwa. Kama umevutiwa tafadhali niandikie kwa sanduku(inbox), au piga 0754 300 880