Mjomba kazola
Member
- Mar 25, 2017
- 33
- 14
Habari zenu wanajamvi,
Ningependa kuuliza kwa wale wazoefu na chuo cha UDOM hivi nafasi kwa upande wa CIVE (Telecommunication engneering) huwa zinajaaga?
Sababu ya kuuliza ni kwamba nahitaji ku apply lakin had sasa bado sijapata Award verification kutoka NACTE na sijui watanipa lini, wananambia nisubiri wanashughulikia.
So nilitaka nijue ili nisije nikajisumbua kulipia hela ya fom 30,000/=
kama vp ni apply kwingine
ASANTENI
Ningependa kuuliza kwa wale wazoefu na chuo cha UDOM hivi nafasi kwa upande wa CIVE (Telecommunication engneering) huwa zinajaaga?
Sababu ya kuuliza ni kwamba nahitaji ku apply lakin had sasa bado sijapata Award verification kutoka NACTE na sijui watanipa lini, wananambia nisubiri wanashughulikia.
So nilitaka nijue ili nisije nikajisumbua kulipia hela ya fom 30,000/=
kama vp ni apply kwingine
ASANTENI