Nafasi za kazi kwa watakaopenda kuwa wauzaji wa bidhaa za Computer/ Electronics.
1. Muajiri angependa wauzaji ambao ni wanawake.
2. Elimu kuanzia kidato cha nne.
3. Mahali ni Dar es Salaam.
4. Uzoefu kuanzia miezi 6.
5. Mshahara ni mzuri.
6. Awe anaweza kuongea Kingereza na Kiswahili.
7. Tarehe ya kuanza kazi ni tarehe 1-October 2021.
8. Tuma CV yako kwa humble2080@gmail.com
1. Muajiri angependa wauzaji ambao ni wanawake.
2. Elimu kuanzia kidato cha nne.
3. Mahali ni Dar es Salaam.
4. Uzoefu kuanzia miezi 6.
5. Mshahara ni mzuri.
6. Awe anaweza kuongea Kingereza na Kiswahili.
7. Tarehe ya kuanza kazi ni tarehe 1-October 2021.
8. Tuma CV yako kwa humble2080@gmail.com