Kutokana na kichwa ngumu iliyoneshwa na Madaktari wengi waliogoma sehemu mbalimbali nchini,
Historia inatarajia kujirudia soon, madaktari wote walioendelea na mgomo na kukaidi AMRI pamoja na wale waliofika kazini lakini hawakufanya kazi(mgomo baridi) watakuwa wamefukuzwa kazi kwa hiyari yao wenyewe, hivyo wale wote wenye sifa wanakaribishwa
walete maombi yao kwa Bi Nyoni, kazi nje nje...Tunatarajia misururu mirefu ya waombaji kazi za udaktari kama kipindi kile...Mama
Meghji alipokuwa Waziri wa Afya...hata wale waliofukuzwa wataruhusiwa kuomba upya ajira...Tutarajie haya kutoea punde....!!
Historia inatarajia kujirudia soon, madaktari wote walioendelea na mgomo na kukaidi AMRI pamoja na wale waliofika kazini lakini hawakufanya kazi(mgomo baridi) watakuwa wamefukuzwa kazi kwa hiyari yao wenyewe, hivyo wale wote wenye sifa wanakaribishwa
walete maombi yao kwa Bi Nyoni, kazi nje nje...Tunatarajia misururu mirefu ya waombaji kazi za udaktari kama kipindi kile...Mama
Meghji alipokuwa Waziri wa Afya...hata wale waliofukuzwa wataruhusiwa kuomba upya ajira...Tutarajie haya kutoea punde....!!