peter_intelligent
JF-Expert Member
- Aug 1, 2018
- 603
- 514
Habarini za wakati huu?
nimerudi tena humu ndg zanguni mimi kijana mwenzenu mnisaidie kupata kazi ya udereva..
mpaka sasa sijapata kazi ya kudumu na bado vile vile naendelea kuziangaikia sehemu mbali mbali kwani mtafutaji hachoki,akichoka ameshapata.
madaraja ya leseni niliyonayo ni D,C1.
elimu yangu ni ngazi ya diploma hivyo yeyote ambaye swala hili lipo ndani ya uwezo wake-anisaidie kupata kazi,ntamshukuru sana sana.
ninapoishi ni dar es salaam ila nipo tayali kufanya kazi mkoa wowote.
pia nitumie fursa hii kutoa connection japo ni ndogo sana atakaeona inamfaa asisite kuja.
kama yupo dereva humu hana pa kujishikiza,anaweza kunifata PM tushirikishane.
kuna mahala kuna vibarua vya madereva na kwa mwezi haukosi nafasi hata mara mbili, hata mimi huwa nakwenda huko kujishikiza kipindi hiki sina kazi ya kudumu.
karibu uje tuungane ndg kwani ni bora uje huku kupunguza ukali wa maisha kuliko kujifungia ndani kuzisubiria kazi/ ajira, huwezi jua mlango wako wa kutokea ni upi kwani mkaa bure si sawa na mtembea bure.
nawashukuru sana kwa kusoma ujumbe huu na Mungu awabariki sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
nimerudi tena humu ndg zanguni mimi kijana mwenzenu mnisaidie kupata kazi ya udereva..
mpaka sasa sijapata kazi ya kudumu na bado vile vile naendelea kuziangaikia sehemu mbali mbali kwani mtafutaji hachoki,akichoka ameshapata.
madaraja ya leseni niliyonayo ni D,C1.
elimu yangu ni ngazi ya diploma hivyo yeyote ambaye swala hili lipo ndani ya uwezo wake-anisaidie kupata kazi,ntamshukuru sana sana.
ninapoishi ni dar es salaam ila nipo tayali kufanya kazi mkoa wowote.
pia nitumie fursa hii kutoa connection japo ni ndogo sana atakaeona inamfaa asisite kuja.
kama yupo dereva humu hana pa kujishikiza,anaweza kunifata PM tushirikishane.
kuna mahala kuna vibarua vya madereva na kwa mwezi haukosi nafasi hata mara mbili, hata mimi huwa nakwenda huko kujishikiza kipindi hiki sina kazi ya kudumu.
karibu uje tuungane ndg kwani ni bora uje huku kupunguza ukali wa maisha kuliko kujifungia ndani kuzisubiria kazi/ ajira, huwezi jua mlango wako wa kutokea ni upi kwani mkaa bure si sawa na mtembea bure.
nawashukuru sana kwa kusoma ujumbe huu na Mungu awabariki sana.
Sent using Jamii Forums mobile app