kedekede
JF-Expert Member
- Aug 21, 2016
- 5,298
- 7,646
Nawasalimu Wakuu.
Moja kwa moja ninyooke nisiwachoshe.Nimefuatilia bei za gari kuingiza nineona naweza kununua sasa maana mambo ya msingi nimepunguza la starehe kidogo nimiliki usafiri wangu ka mara ya 3 baada ya kuacha 2007 nakurudi changanyikeni.Kama kuna mtu anayo nafasi kwenye Container na analeta mizigo naomba kuingiza Toyota Wish nimlipe kidogo maana kwa gari moja ninunue container la peke yangu inakuwa sijafanya cha maana,hyo $3000 bora inaisaidie kuitolea bandarini hiyo gari.Je kuna mtu anayo container imebakiza nafasi tukubaliane niingize gari?au inakuwa hairuhusiwi kuchanganya gari na vitu vingine?
Natanguliza shukurani zangu za dhati.
Moja kwa moja ninyooke nisiwachoshe.Nimefuatilia bei za gari kuingiza nineona naweza kununua sasa maana mambo ya msingi nimepunguza la starehe kidogo nimiliki usafiri wangu ka mara ya 3 baada ya kuacha 2007 nakurudi changanyikeni.Kama kuna mtu anayo nafasi kwenye Container na analeta mizigo naomba kuingiza Toyota Wish nimlipe kidogo maana kwa gari moja ninunue container la peke yangu inakuwa sijafanya cha maana,hyo $3000 bora inaisaidie kuitolea bandarini hiyo gari.Je kuna mtu anayo container imebakiza nafasi tukubaliane niingize gari?au inakuwa hairuhusiwi kuchanganya gari na vitu vingine?
Natanguliza shukurani zangu za dhati.