Hallow habarini wakuu,
Tuna nafasi 50 za kazi ya muda mfupi kwa vijana. Kazi hii ni ya kupiga chapa (kuprint) documents. Itafanyika kwa siku 20.
Tunahitaji vijana angalau (at least) waliomaliza kidato cha nne na wenye cheti cha kompyuta (certificate of computer applications).
Kama una cheti, stashahada au shahada na hauko engaged na kazi yoyote kwa sasa pia tunakukaribisha.
Malipo ni sh 9500/= kwa siku bila benefit nyingine yoyote.
Sehemu ya kazi ni maili moja kibaha.
Usafiri wa kutoka ubungo mpaka maili moja utatolewa kwa kila siku ya kazi (Kwenda na kurudi).
Tuma maombi tu kama unaishi dar au kibaha.
Andika barua ya maombi pamoja na CV kwa lugha uipendayo, kiswahili au kiingereza.
Kutuma maombi: printingjobvijana50@gmail.com
Mwisho wa kupokea maombi ni 19/06/2017.
Tuma mapema kwa sababu maombi yatafanyiwa kazi kadri yanavyokuja.
Karibuni.
Tuna nafasi 50 za kazi ya muda mfupi kwa vijana. Kazi hii ni ya kupiga chapa (kuprint) documents. Itafanyika kwa siku 20.
Tunahitaji vijana angalau (at least) waliomaliza kidato cha nne na wenye cheti cha kompyuta (certificate of computer applications).
Kama una cheti, stashahada au shahada na hauko engaged na kazi yoyote kwa sasa pia tunakukaribisha.
Malipo ni sh 9500/= kwa siku bila benefit nyingine yoyote.
Sehemu ya kazi ni maili moja kibaha.
Usafiri wa kutoka ubungo mpaka maili moja utatolewa kwa kila siku ya kazi (Kwenda na kurudi).
Tuma maombi tu kama unaishi dar au kibaha.
Andika barua ya maombi pamoja na CV kwa lugha uipendayo, kiswahili au kiingereza.
Kutuma maombi: printingjobvijana50@gmail.com
Mwisho wa kupokea maombi ni 19/06/2017.
Tuma mapema kwa sababu maombi yatafanyiwa kazi kadri yanavyokuja.
Karibuni.