Azizi Walter
JF-Expert Member
- Mar 18, 2015
- 220
- 134
Vijana washaanza kuotwa wa RTS Kihangaiko wengi wamesomwa usiku huu
Mkoa gani huo mwanaWengi wamesomwa leo, huko ni full vurugu nafasi chache sana kufananisha na op zilizopo
hivi wanajeshi sio raia?!
Ile miezi mitatu ya kuweka chenja nayo unajiita umepita JKT?
National Service Compulsory Program ilianzishwa kisiasa na ndio maana hata mtaala wa mujibu haufanani na wa kujitolea (except pilot intake ya 2013 ya wanafunzi 5000 ambao mujibu na wa kujitolea walichanganywa)
Hivyo basi,wanapozungumzia vijana waliopita JKT ,hawawazungumzii nyie maselule wa miezi mitatu
Mkuu naomba nijuvye hivi waliosomwa leo ndio tayari hakuna tena wemaliza au kila sehemu kuna awamu yake ya kusomwa msaada majibu mkuuVijana washaanza kuotwa wa RTS Kihangaiko wengi wamesomwa usiku huu
kumbe mambo yametiki..... mungu awatangulie aiseeMkuu naomba nijuvye hivi waliosomwa leo ndio tayari hakuna tena wemaliza au kila sehemu kuna awamu yake ya kusomwa msaada majibu mkuu
sorry naomba kuuliza kwa OP zote vijana wanakaribia kias gani?? au wapo watakaorudi mtaani kwa kutemwa?Wengi wamesomwa leo, huko ni full vurugu nafasi chache sana kufananisha na op zilizopo
hivi wanajeshi sio raia?!
Bado hawajamaliza wanasoma kila kambi wameanza na kambi za dar kisha wanaelekea mikoani hata 832kj ruvu bado hawajasomwa wanaweza kusomwa leo usiku au kesho, vijana chakula hakipiti huku kila mmoja anamuomba Mungu wakeMkuu naomba nijuvye hivi waliosomwa leo ndio tayari hakuna tena wemaliza au kila sehemu kuna awamu yake ya kusomwa msaada majibu mkuu
Asante sana mkuu ila kama utakuwa unafaham mchakato huu huwa unafika kipind gani hadi umalize naomba unambie mkuu, kama siku 5 ,6,7,wiki .Bado hawajamaliza wanasoma kila kambi wameanza na kambi za dar kisha wanaelekea mikoani hata 832kj ruvu bado hawajasomwa wanaweza kusomwa leo usiku au kesho, vijana chakula hakipiti huku kila mmoja anamuomba Mungu wake
Nawatakia jumapili njema PROFFESIONAL na MUJIBU wote.
Hahahaaaa,,,,,,cha ajabu zaidi OPP muungano wengine wameendelea kuachwaMkuu kuna kitu kinataka kutokea hapo maana nasikia huko makambini wanao somwa majina ni darasa la 7 na form 4 tu hataree tupu
Wameachwa????mwambie aliyekupa habari hakupe tenaHahahaaaa,,,,,,cha ajabu zaidi OPP muungano wengine wameendelea kuachwa