Nafasi 3000 za JWTZ na waliopita JKT kwa Mujibu wa sheria.

Wewe hujitambui, hebu sikiliza audio au tazama video fupi utasikia akisema hao elfu tatu ni maofisa au maaskari. Kasema hao 3,000 ni junior officers na askari. Alisema hatuwezi kuwa na maafisa tupu katika jeshi na ndipo akaangushia kwenye suala la ajira 3,000.
Hutaki maelezo yangu kaa na kaa uzisubiri hizi ajira utashtuka bajeti ya 2018/19 ikisomwa na still uko home.
Pia usijidanganye kuwa jkt wa kujitolea wote ni lasaba na form four, wengi wana vyeti vyao vizuri.
Ungekuwa umepitia mujibu operetion Miaka 50 ya JKT awamu ya kwanza ungeamini hili. Wenye barchelors ,diploma na astashahada wengi tulipiga nao kozi. Mimi nilipiga mujibu RUVU 2013 ambapo miezi miwili na nusu ya kwanza tulianza na wakujitolea na kisha kutenganishwa.
Kumbe wewe ni form six leaver ambaye huna professional ndio maana unaforce unachotamani kitokee...Nimekuelewa mkuu
 
Kumbe wewe ni form six leaver ambaye huna professional ndio maana unaforce unachotamani kitokee...Nimekuelewa mkuu

Jadili hoja usiattack personality.Walioingia JKT mwaka 2013 wamemaliza chuo mwaka jana (wa 3 years program) na mwaka huu (4 years program) .Wachache wanamaliza mwaka kesho (5 years ,MD,DDS na Architecture)

Kwanini unamuita hana profession?Unamjua in person?

Turudi kwenye mada
 
Kumbe wewe ni form six leaver ambaye huna professional ndio maana unaforce unachotamani kitokee...Nimekuelewa mkuu
Naomba unipe maana ya neno professional kwanza halafu nitakujibu kwa vielelezo, hapo ndipo tutajua nani ana professional inayompa ulaji mjini kati yako na yangu.
Halafu jeshi la wanachi mwenye six na degree wote wanasifa za kupiga kozi ya uafisa.
Fungua tovuti ya TPDF utaliona hili.Unaweza ukafika jeshi ukasota kwenye uaskari na degree yako kwa miaka mingi huku ukimgongea six leaver saluti kwa wingi.
 
Ile miezi mitatu ya kuweka chenja nayo unajiita umepita JKT?

National Service Compulsory Program ilianzishwa kisiasa na ndio maana hata mtaala wa mujibu haufanani na wa kujitolea (except pilot intake ya 2013 ya wanafunzi 5000 ambao mujibu na wa kujitolea walichanganywa)

Hivyo basi,wanapozungumzia vijana waliopita JKT ,hawawazungumzii nyie maselule wa miezi mitatu

Watu mnajifanya wajuaji kwelikweli wakati mnaongea ujinga na msichokijuwa
 
Nawaona wazee wa kuwamba ngoma mnavyovutia kwenu,yani humu waliopita mujibu wanavutia kwao na raia waliopeleka maombi NGOME nao wanavutia kwao kwa kigezo cha professional...wote mnaweza mkawa wakweli au waongo au pengine mmoja wenu akawa mkweli ila ni suala la muda tu.Hadi sasa mwenye uhakika ni op muungano tu,kwa maana op kikwete wapo wengi hawawezi kwenda wote ni kizali cha mtu tu.Niwatakie uwambaji mwema.
 
Nawaona wazee wa kuwamba ngoma mnavyovutia kwenu,yani humu waliopita mujibu wanavutia kwao na raia waliopeleka maombi NGOME nao wanavutia kwao kwa kigezo cha professional...wote mnaweza mkawa wakweli au waongo au pengine mmoja wenu akawa mkweli ila ni suala la muda tu.Hadi sasa mwenye uhakika ni op muungano tu,kwa maana op kikwete wapo wengi hawawezi kwenda wote ni kizali cha mtu tu.Niwatakie uwambaji mwema.
OPP muungano wanakwenda wote hawa wengine watadonoa donoa tu
 
OPP muungano wanakwenda wote hawa wengine watadonoa donoa tu

Watu tunawaelekeza humu ndani wanadhani tunawakatisha tamaa

Taratibu zinajulikana. Watakaochukuliwa ni wale waliopita mafunzo ya kujitolea. Walioko kambini na walio mtaani(baada ya miaka mi2) kuisha.

Hawa wakiondoka itafungua milango ya kutangazwa nafas mpya za kwenda kujitolea. Ila ukweli mchungu ni kuwa HAKUNA mtu anayeajiriwa katika chombo chochote cha usalama Tz bila kujitolea kwanza.
 
Em wakuu ..mwenye taarifa kamili na uhakika .tunaomba atujuze
Ni kweli mkuu kwani Rais akitoa tamko maana yake serikali imesema hivyo taarifa rasmi inaweza isiwepo ila unachotakiwa ni kufuatilia vyombo vya habari na kuulizia ahadi ya Rais mara kwa mara kwenye mamlaka zinazohusika
 
Watu tunawaelekeza humu ndani wanadhani tunawakatisha tamaa

Taratibu zinajulikana. Watakaochukuliwa ni wale waliopita mafunzo ya kujitolea. Walioko kambini na walio mtaani(baada ya miaka mi2) kuisha.

Hawa wakiondoka itafungua milango ya kutangazwa nafas mpya za kwenda kujitolea. Ila ukweli mchungu ni kuwa HAKUNA mtu anayeajiriwa katika chombo chochote cha usalama Tz bila kujitolea kwanza.

Ukisema hivo na wale askari Polisi ambao wamekuwa wakichaguliwa kwenda Polisi baada ya kuhitimu kidato cha NNE/sita wanakuwa wamejitolea wapi? Na hii ilikuwepo hata baada ya hizo porojo unazozisema wewe.
 
Ukisema hivo na wale askari Polisi ambao wamekuwa wakichaguliwa kwenda Polisi baada ya kuhitimu kidato cha NNE/sita wanakuwa wamejitolea wapi? Na hii ilikuwepo hata baada ya hizo porojo unazozisema wewe.

Ndo ungeuliza kwamba huo utaratibu umeanza lini ndugu(unaita porojo).

NNa nikifikia hapo huwa siendelei kubishana tena. Mimi nilitoa taarifa tu kwa uzoefu wangu chukua/acha.
 
Watu tunawaelekeza humu ndani wanadhani tunawakatisha tamaa

Taratibu zinajulikana. Watakaochukuliwa ni wale waliopita mafunzo ya kujitolea. Walioko kambini na walio mtaani(baada ya miaka mi2) kuisha.

Hawa wakiondoka itafungua milango ya kutangazwa nafas mpya za kwenda kujitolea. Ila ukweli mchungu ni kuwa HAKUNA mtu anayeajiriwa katika chombo chochote cha usalama Tz bila kujitolea kwanza.
Fact labda kuwe na mengineyo
 
Fact labda kuwe na mengineyo

Tunaelewa vijana mtaani kugumu. Hata sisi tulipitia huko. Lakini hakuna kitu kibaya kama kuwa na matumaini yaliyojengwa kwenye misingi ya kujidanganya. Ila ukiwaambia wanakuona mbaya
 
Ndo nashangaa huyu anadhani wanaonhelewa wale wa mujibu wa sheria(miez mi3) ambao hata namba nadhani hawana.

JKT kwa kujitolea wapo vijana kibao kambini,mtaani kwenye makampuni ya ulinzi nk. Ambao hawa kozi yao ni ndefu na deep zaidi kuliko wale Form six leavers wanaoenda kwa lazima
Wa kujitolea na mujibu wa sheria

Ni sawa na kuku wa kienyeji na kuku wa kizungu
 
5 Reactions
Reply
Back
Top Bottom