Mkuu, huu uzi/tangazo ni wa/la tano kuhusu kazi ileile.Mimi ni mmiliki wa pharmacy iliyoko maeneo ya sinza Daresalaam. Nina nafasi 2 za kazi.
1:ADDO -wa dispensing
-awe na leseni toka Pharmacy council
2harmacist(degree holder)kwaajili ya usimamizi wa Pharmacy
-Awe ana leseni ya usimamizi toka Pharmacy council
-Awe ndani ya Daresalaam.
Send ur cv
Contact:
Whasup 0762619116
Mkuu, huu uzi/tangazo ni wa/la tano kuhusu kazi ileile.
Je, hujawahi kupata kabisa hao wafanyakzi? Au unawapata lakini mnashindwana hasa katika suala la maslahi.
Huo ndio ukweli mkuu. Hawa watu nawatambua sana, wenye kuhitaji wapo ila naona kashazinguana na wengi tu
ISHU YA MASLAHI BILA SHAKA.
Huo ndio ukweli mkuu. Hawa watu nawatambua sana, wenye kuhitaji wapo ila naona kashazinguana na wengi tu
Pharmacy bado unataka level ya ADDO? Watoa dawa muhimu unataka kuwapa jumumu la kutoa controlled drugs?Mimi ni mmiliki wa pharmacy iliyoko maeneo ya sinza Daresalaam. Nina nafasi 2 za kazi.
1:ADDO -wa dispensing
-awe na leseni toka Pharmacy council
2harmacist(degree holder)kwaajili ya usimamizi wa Pharmacy
-Awe ana leseni ya usimamizi toka Pharmacy council
-Awe ndani ya Daresalaam.
Send ur cv
Contact:
Whasup 0762619116
Sioni faida ya mtu kuringia kazi na uko mtaani au home hauna unachofanya. Hata kama inakufanya u survive piga tu. Heri mia ya kwako kuliko buku ya mzinga!Kama kijana ni jobless na anahiyo fani,aende akapige mzigo aongeza ujuzi na network
Wewe ni mfamasia kweli?Ushapata KAKA, maana hata mm Ni mfamasia.