Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,833
- 155,781
Wewe wasema.
Sawa
Haaaa haaaHakuna mwanaume duniani anayeweza kushinda mitego kama hiyo, hata wale wasiosimamisha hawawezi.
Kwani Mimi natakiwa kufanya mabaya, Mimi nikoje hadi niwe muovu?Siamini yaani wewe kabisa unasema hayo!!👀👀
Haya ndiyo matatizo ya Baba kushinda nyumbani sasa amekuona kama shost yake.
Kwani Mimi natakiwa kufanya mabaya, Mimi nikoje hadi niwe muovu?