M2mwembamba
JF-Expert Member
- Feb 23, 2014
- 2,491
- 1,089
Hii story itaendelea? kuna part two?
Acha undezi mkuu, wafikiri tumezaliwa jana?! Don't even try to mess our intelligence, kwanza nimepatwa na hasira, jinsi tu ulivyomuelezea huyo baharia ina maana tayari ulikuwa na mipango fulani, yaani kweli ulimuacha?! Kweli?!Sijamgusa. Shetani akizeeka anakuwa malaika
Uliyosema ni kweli nakuunga mkono. Kuna watu wanafikiria kufanya ngono ni raha lakini wanasahau kuwa baada ya hiyo ni regret na kujiona umechafuka na utachafua mwenzio. Mimi Buji ni Ke na nipo kwenye ndoa yangu miaka 27 ila nilikaa miaka 10 baada ya kumwacha mme wa kwanza nilipomfumania na mwanafunzi wangu live. Nilikuwa mja mzito ila nilitunza mimba yangu mwenyewe na mtoto akapata baba aliyemjali na kumlea kama mwanae. Sasa nina wajukuu.Ntakushukuru. Nimejifunza, tamaa ikichukua mimba 🤰🤰 huzaa dhambi, dhambi IKISHA KOMAA, huzaa mauti.
Mauti ya mwili na roho
Mauti ya ndoa na mahusiano
Mauti ya heshima yangu kwenye jamii inayonizunguka
Mauti kwenye utendaji wangu na ufanisi wangu wa kila siku.
Huwezi kuperform vizuri kwenye chochote kama una matatizo ya kifamilia, hasa matatizo na mke
Yeye hana simu, labda nikupe namba yanguWrite your reply...nipe namba nimsaidie mi ni daktari wa saikolojia
Hakika wewe ni mwalimu, sio wa kitaaluma tu, ila wa maisha pia. Ndio maana Mungu akakupa tuzo ya mume Bora, mume wa kufanana na weweUliyosema ni kweli nakuunga mkono. Kuna watu wanafikiria kufanya ngono ni raha lakini wanasahau kuwa baada ya hiyo ni regret na kujiona umechafuka na utachafua mwenzio. Mimi Buji ni Ke na nipo kwenye ndoa yangu miaka 27 ila nilikaa miaka 10 baada ya kumwacha mme wa kwanza nilipomfumania na mwanafunzi wangu live. Nilikuwa mja mzito ila nilitunza mimba yangu mwenyewe na mtoto akapata baba aliyemjali na kumlea kama mwanae. Sasa nina wajukuu.
Mme wangu tunapendana utafikiri tumeoana jana. Anawatunza wanangu sana na wote wamegraduate na Masters isipokua wa mwisho ndo bado anataka masters.Hakika wewe ni mwalimu, sio wa kitaaluma tu, ila wa maisha pia. Ndio maana Mungu akakupa tuzo ya mume Bora, mume wa kufanana na wewe
DuhhhSema ukweli nani kakuhadithia hii story na urijali wake unatia shaka
Sent using Jamii Forums mobile app
Msichana wa kazi akikaa muda mrefu ni tatizo, anatakiwa akae nusu mwaka aondoke.
Sema sikuhizi wameadimika na ukimpata anakaa wiki anatoroka
Sent using Jamii Forums mobile app
Mfanyie counselling umuonyeshe madhara ya hicho anacho taka kama haelewi utajua mwenyewe ufanyejeSasa unataka nimuone kama nani? Kamekuja kakiwa kadogo. Kamefutukia hapa kwangu, naanzaje kukavulia nguo?