Ngondonyoni
Senior Member
- Feb 16, 2016
- 120
- 74
Habari zenu?
Nafanya utafiti kidogo kuhusu Lucerne au Alfalfa Tanzania na Kenya. Hapo Kenya naona wanalima alfalfa kwa ajili ya ng'ombe na mbuzi Zao. Tanzania sijapata Maelezo bora, zaidi ya kwamba wachache Arusha na Moshi wanalima kwa ajili ya mahitaji Yao binafsi, na mbegu ni adimu sana.
Katika utafiti wangu naona alfalfa ni zao la biashara nzuri.... sielewi lakini wapi ingefaa kulima, Morogoro? Tanga? Kilwa? Kaskazini? Njombe?
Naomba ushauri au mawazo yenu.
Nafanya utafiti kidogo kuhusu Lucerne au Alfalfa Tanzania na Kenya. Hapo Kenya naona wanalima alfalfa kwa ajili ya ng'ombe na mbuzi Zao. Tanzania sijapata Maelezo bora, zaidi ya kwamba wachache Arusha na Moshi wanalima kwa ajili ya mahitaji Yao binafsi, na mbegu ni adimu sana.
Katika utafiti wangu naona alfalfa ni zao la biashara nzuri.... sielewi lakini wapi ingefaa kulima, Morogoro? Tanga? Kilwa? Kaskazini? Njombe?
Naomba ushauri au mawazo yenu.