Yaan badala ujiandae wewe unaazana kutupa mchakato mara mniombee!. Kaaazi kweli kweli Siku hizi kila mtu anataka kuombewa tu hadi Mtanzania namba moja nae anataka tumuombeenipo njiani kuelekea kufanya aptitude test maombi yenu muhimu.... nitawataarifu hadi mwisho wa mchakato.
Na boss wako anayekufanyia interview yuko humu..keshakusomanipo njiani kuelekea kufanya aptitude test maombi yenu muhimu.... nitawataarifu hadi mwisho wa mchakato.
aminaMwenye Enzi Mungu akupe haja ya dua yako!
aminaMungu akusimamie na kukuongoza vema...
Kukuombea tutakuombea, ila nawe utubu kwanzanipo njiani kuelekea kufanya aptitude test maombi yenu muhimu.... nitawataarifu hadi mwisho wa mchakato.
amina mkuuMwenye enzi akusimamie. Lakini pia usisahau kuanza sentensi kwa herufi kubwa na baada ya kituo kikubwa.
asante mkuuMungu akujalie paper zao mbona kawaida hao jamaa ishu tu figisufigisu nyingine hapo ndo tatizo,ila kila la kheri MUNGU akupe baraka mkuu.
hahaha..... sawa, nisamehewe madhambi yangu yoteKukuombea tutakuombea, ila nawe utubu kwanza
Smiling, meditating, Shifting attention focus, Change response, ask guidance.Hili swali utalijibuje
How do you control your emotions?