kutoka kampuni gani i.e toshiba, samsung, dell,acer au? Na upo maeneo gani au mkoa gani?Habarini wakuu. Kama kichwa cha habari kinavyo sema je naweza pata core i3 laptop MPYA kwa laki 6
Wakuu nilitaka tu niwajulishe kuwa nimepata toshiba core i3 4gb ram 500gb memory kwa 654,000 mpya pale freedom computers. Pia kuna dell na samsung na acer zote core i3 na specs ni izo kwa bei hio hio. So inawezekana core i3 kwa laki 6.