george mawale
Member
- May 16, 2017
- 38
- 38
Ukitaka mikono isichubuke unapoweka sabuni kwenye maji subiri kidogo mkuu hata kwa dakika 20-30 Kisha ndo uanze kufua acha kidogo sabuni ikae kwenye maji
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dah mkuu hyo njia naona haiko poa kwangu kabisa.Ukitaka mikono isichubuke unapoweka sabuni kwenye maji subiri kidogo mkuu hata kwa dakika 20-30 Kisha ndo uanze kufua acha kidogo sabuni ikae kwenye maji
Mkuu upo lakini..?Nitakushauri baadae cha kufanya...tudiscuss kwanza mkono huoo
Ni bei gani??Au nunua mashine ya kufulia mbona bei rahisi tu.
Laki tatu nneNi bei gani??
Ntaondoa magamba ntaongeza gharama.Kama hali inaruhusu chkua mashine ya kufulia Nikura 8kg ni Tsh400k tu.
Inakusaidia kutohusisha ngozi yako ktk uchanganyaji wa sabuni.
Ukiloweka nguo mara kwa mara zinapauka mpaka utashangaa mwenyeweTusidharauliane basi Mkuu
Ok tuchukulie nimeloweka tayari nguo 10 kwa pamoja kwenye beseni.
Sasa maji hayo ya kwenye beseni ndo nitafulia nguo zote mpaka zitaisha sitotumia maji ya sabuni Mengine mkuu?
Inakupasa uwe unavaa glovesNtaondoa magamba ntaongeza gharama.
Nataka kuepuka magamba bila kuongeza gharama yeyote.
Sent using Jamii Forums mobile app