kipakaMwitu
Senior Member
- Feb 19, 2009
- 158
- 20
Jb mhuni! Anawadanganya wanajf kama dolindo! Kweli uliwapata watu. Majisifa tu anatafuta. Si ajabu akawa maeneo ya tandale kwa tumbo,badala ya kuwa na msafara india.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jb mhuni! Anawadanganya wanajf kama dolindo! Kweli uliwapata watu. Majisifa tu anatafuta. Si ajabu akawa maeneo ya tandale kwa tumbo,badala ya kuwa na msafara india.
basi atoe hizo siri alizonazo kabisa, maana mnatutisha tuJB kama mtu mzima nimekuelewa. Dakika namaliza kusoma taarifa yako juu ya Mwakyembe nimepatwa na simanzi naturally. Tunawaombea.... Asante kwa taarifa.
Jason Bourne... are you for real?
Muongo, anatafuta sifa, yangu macho. Taarifa zake c za kweli.
basi atoe hizo siri alizonazo kabisa, maana mnatutisha tu
Nafikiri unapenda uendelee kuwa msiri/ usijulikane utambulisho(identity) wako, kutokana na mambo ambayo unaandika ama kutupasha. Kama kuna watu ambao wamepewa kazi ya kutafuta utambulisho wako, mbona umewarahisishia kazi, maana watakuwa wamepunguza sample na kubakiza wale tu walioko kwenye msafara wa Zitto, then wataendelea na upembuzi mwingine wa kina na hatimaye itakuwa rahisi kukudaka.
Kama wewe ni mwanausalama, sikutegemea useme wazi kuwa upo kwenye msafara wa Zitto, vinginevyo umejisahau, au si mwanausalama, ama ni makusudi tu.
Anyway, keep us updated.
Thanks....
Muongo, anatafuta sifa, yangu macho. Taarifa zake c za kweli.
KipakaMwitu inaonekana unazo taarifa za ukweli.,...........hebu tupatie ili tupime kati ya zako na JB zipi za kweli, otherwise you are a cartoon