SoNotorious
JF-Expert Member
- Sep 11, 2011
- 2,422
- 859
Leo wanavaa nguo za kijani na kujiita CCM kesho wanavaa zambarau wanajiita ACT hii inaweza kuwa political competitive edge dhidi ya CHADEMA au ndo mambo ya mbwa mzee kujaribu kujifunza mbinu mpya za kupambana na adui ? Naomba tujadili hii nadharia ya SAN SIRO NA GIUSEPPE MEAZA kama inasaida CCM kuelekea october 2015 au wanacheza mduara kwa kasi na ACT kama alivyosema Albert Einstein kuwa mtu yule yule kuzunguka mti kwa kasi isiyo ya kawaida sio jambo zuri. Tafsiri ya kiingereza imekaa vizuri ya hiki alichokisema Einstein na ina maana pana zaidi mnaweza kuitafuta kwenye famous quotes of Albert Einstein.